Kweli
JF-Expert Member
- Jul 14, 2007
- 1,152
- 302
Ninauza Blackberry storm 9500 vodafone kutoka UK, imeshatumika, nimeitumia hivi karibuni nilipokuja likizo Bongo lakini bado iko katika hali nzuri, bei ni shs 350.000 tu. Ni simu na charger tu hakuna Box wala accessories.
Kama unahitaji unaweza kuwasiliana nami kwa njia ya PM ama piga simu 0773168728.
Kama unahitaji unaweza kuwasiliana nami kwa njia ya PM ama piga simu 0773168728.