E emike JF-Expert Member Sep 13, 2011 345 108 May 9, 2012 #21 hawa voda wana roho mbaya sana badala kutoa kitu kama bundle ya 400mb kwa hata book tatu hivi eti wanatoa free facebook na twitter ya nini!!!
hawa voda wana roho mbaya sana badala kutoa kitu kama bundle ya 400mb kwa hata book tatu hivi eti wanatoa free facebook na twitter ya nini!!!
PakaJimmy JF-Expert Member Apr 29, 2009 16,203 8,724 May 9, 2012 #22 Sasa mbona TIGO walianza ofa ya 1/4 shilingi toka zamani za dahari, wao ndio wanazindukA leo, eti usiku wa saa 4, wakati watu wanalala saa2-3?
Sasa mbona TIGO walianza ofa ya 1/4 shilingi toka zamani za dahari, wao ndio wanazindukA leo, eti usiku wa saa 4, wakati watu wanalala saa2-3?
Msamiati R I P Mar 6, 2011 1,063 697 May 10, 2012 #24 sssshhhhhhhhhhh!!!!! silence!!!!! Click to expand... Mh Mbona mnaminyana wenyewe tu wakubwa!
Brightman Jr JF-Expert Member Mar 22, 2009 1,225 232 May 28, 2012 #25 PakaJimmy said: Sasa mbona TIGO walianza ofa ya 1/4 shilingi toka zamani za dahari, wao ndio wanazindukA leo, eti usiku wa saa 4, wakati watu wanalala saa2-3? Click to expand... Wanataka watu WASILALE kumbe we hujui? Kama kweli ni waungwana ofa hizi zingekuwa wakati wa mchana.
PakaJimmy said: Sasa mbona TIGO walianza ofa ya 1/4 shilingi toka zamani za dahari, wao ndio wanazindukA leo, eti usiku wa saa 4, wakati watu wanalala saa2-3? Click to expand... Wanataka watu WASILALE kumbe we hujui? Kama kweli ni waungwana ofa hizi zingekuwa wakati wa mchana.