Nyakwec's Bro
JF-Expert Member
- Apr 27, 2012
- 820
- 174
Wakuu hyo ofa speed yake noma halafu kila asubuhi wanakukumbusha kwamba bdo unainternet ya bure peruzi jf uone watz wanasema nn!..
Big up kazi ni kwako!.
Big up kazi ni kwako!.
Niliidhani ni mimi tu niliye experience hivyo. Hawa jamaa wana hila kweli kweli. kama ukiliipia kwa mwezi inakuwa na kasi ya ajabu wiki nzima.mm ndio maana nawachukia Vodacom katika Internet hata katika B/B si wakweli kabisa
Niliidhani ni mimi tu niliye experience hivyo. Hawa jamaa wana hila kweli kweli. kama ukiliipia kwa mwezi inakuwa na kasi ya ajabu wiki nzima.
Ya piili spindi inapungua na ya tatu zaidi na ya nne mpaka inakera! Na ikiwa ya wiki una takribani siku tatu hivi na zinazofuata ni ovyo ovyoo tu. Sijui kama tume ya mzwasiliano wanalijua hili? Na nasikia hali nihiyohiyo kwa Airtel na Tigo! Tutafika kweli?
Ila ni kwanini hii ofa inatolewa kwa baadhi ya watu?
kwani hiyo ya 250 ni unlimited?
kwani hiyo ya 250 ni unlimited?
Wadauangalieni kazi hizi hapa mwaweza bahatika http://referraltask.com/ref.php?page=act%2Fref&invcod=135590
yah! Ni unlimited saa 5 usiku hadi 1 asubuhi jana mimi nimedownload movie 5 ambazo zina 1.2 gb each
Yeah piga *102*250# unapata unlimited kwanzia saa tano usiku mpaka saa moja asubuhi and i swear speed ni 400kbps ikishuka sana ni 300 or 200 ni noma afu (huku nikinong'oneza) Jamaa hua wanasahau kuifunga cjui, huwa inapiga kazi hadi saa moja usiku bhuree