Vodacom yahonga Wabunge Blackberry

Nimekufahamisha vizuri sana huko juu, tena kwa kukutolea mpaka mfano wa Serengeti na Kilimanjaro, lakini watu wengine si tunajuwa, shule mnabebwa na NECTA 83/17, hata uwe na PhD unakuwa huna uelewa.

Hakuna kitu chochote cha maana umetaja huko juu zombe unless huelewi nini kimeulizwa. Nimekuuliza very simple questions:

1. Rushwa ni nini
2. Promotion inaweza kuwa rushwa (ukajibu hapana); nikakuuliza kwanini - ukajibu rushwa ni rushwa na promotion ni promotion!!!

Sasa nitakuuliza tena, na ninakusuhi unipe majibu kama mtu aliyeenda shule.
1. Rushwa ni nini?
2. Ni kitu gani kinachozuia promotion kuwa rushwa? (jibu hili liwe katika context ya Vodacom na Blackberry kwa kamati ya bunge/spika)


Tafadhali toa majibu. Mambo ya serengeti na Kilimanjaro na 'targeted market ni majibu ya industial revolution era. Huwezi kusema 'rushwa ni rushwa na promotion ni promotion' na ukakaa chini ukiamini umejibu swali!
 
Hakuna kitu chochote cha maana umetaja huko juu zombe unless huelewi nini kimeulizwa. Nimekuuliza very simple questions:

1. Rushwa ni nini
2. Promotion inaweza kuwa rushwa (ukajibu hapana); nikakuuliza kwanini - ukajibu rushwa ni rushwa na promotion ni promotion!!!

Sasa nitakuuliza tena, na ninakusuhi unipe majibu kama mtu aliyeenda shule.
1. Rushwa ni nini?
2. Ni kitu gani kinachozuia promotion kuwa rushwa? (jibu hili liwe katika context ya Vodacom na Blackberry kwa kamati ya bunge/spika)


Tafadhali toa majibu. Mambo ya serengeti na Kilimanjaro na 'targeted market ni majibu ya industial revolution era. Huwezi kusema 'rushwa ni rushwa na promotion ni promotion' na ukakaa chini ukiamini umejibu swali!

1. Rushwa ni rushwa.

2. Sasa ulitaka nikujibu nini na huo ndio ukweli, au unataka nidanganye na nijidanganye? unaweza kupitia kamusi na dictionary ukapata maana hiizo, kama utakuta maana mbadala, zilete hapa.

Nimekuuliza huko juu kwanini ufikirie kuwa kamati ya miundo mbinu ihongwe na vodacom? ili iweje? huwezi kukurupuka hiyo ni rushwa kama huwezi kusema ni rushwa kwa ajili gani au ili iweje? huna!

Nimeeleza huko juu kuwa hata mimi napewa simu moja kila mwaka na huu ni mwaka wa tatu wananibadilishia BB, ya kwanza 9600, ya pili 9700, ya tatu 9900 zote hizo BOLD kabla ya hapo walishanipa Samsumg (miaka minne iliyopita) na si mimi pekee, ofisini kwangu nna wasaidizi wangu wanne na wote wanapewa BB, jumla tunaletewa BB tano kila mwaka. Mimi sipo kwenye kamati ya miundo mbinu wala bungeni wala Serikalini, ni mkulima tu wa kawaida na biashara zingine ni "consultant" Jee, na mimi wananipa rushwa? ili iweje?

Nna uhakika wananipa hizo simu ili nisiwahame kwani ni mteja wao mzuri sana, kazi zangu zote na wasaidizi wangu, tunatumia simu sana za nje na ndani ya Tanzania.

Hao voda wanafanya kitu inaitwa "directional promotion" sina uhakika kama unazijuwa hizi "terminology" za Sales and Marketing, zipo "a bit advanced" kwako, kwa maneno haya tu "targeted marketing" na "directional promotion" kwa muelewa wa hizo "terminology" angekwisha nielewa.

Pole kama huna uelewa wa hizo "terminology", inabidi wewe sasa ueleze kwanini vida kugawa simu za mkononi (ambayo ni biashara yao) iwe rushwa?
 
Ni wakati gani poromosheni (I think unaamanisha promotion) inakuwa na elements za rushwa?

Kuna tofauti kubwa kati ya rushwa na promotion. Promotion are givings, take away or incentives ambazo zinatolewa kwa wateja ili kuwashawishi kununua bidhaa za kampuni yako.Ni mkakati wa kimasoko.

Rushwa ni givings (Si incentives) zinazotolewa ili kupindisha haki/ukweli wa jambo. Kwa hili (kama ni kweli) Vodacom wamelenga kuwazima midomo Wabunge katika mjadala wa kuyakaba makampuni haya kulipa kodi zaidi kwa Serikali.Na wabunge wetu wasivtyo wazalendo wamedaka blackberry hizo wamekaa kimya.Ni hisani ili wasipigie kelele suala la kodi kutoka kwenye makampuni haya ya kibeberu.
 
1. Rushwa ni rushwa.

2. Sasa ulitaka nikujibu nini na huo ndio ukweli, au unataka nidanganye na nijidanganye? unaweza kupitia kamusi na dictionary ukapata maana hiizo, kama utakuta maana mbadala, zilete hapa.

Nimekuuliza huko juu kwanini ufikirie kuwa kamati ya miundo mbinu ihongwe na vodacom? ili iweje? huwezi kukurupuka hiyo ni rushwa kama huwezi kusema ni rushwa kwa ajili gani au ili iweje? huna!

Nimeeleza huko juu kuwa hata mimi napewa simu moja kila mwaka na huu ni mwaka wa tatu wananibadilishia BB, ya kwanza 9600, ya pili 9700, ya tatu 9900 zote hizo BOLD kabla ya hapo walishanipa Samsumg (miaka minne iliyopita) na si mimi pekee, ofisini kwangu nna wasaidizi wangu wanne na wote wanapewa BB, jumla tunaletewa BB tano kila mwaka. Mimi sipo kwenye kamati ya miundo mbinu wala bungeni wala Serikalini, ni mkulima tu wa kawaida na biashara zingine ni "consultant" Jee, na mimi wananipa rushwa? ili iweje?

Nna uhakika wananipa hizo simu ili nisiwahame kwani ni mteja wao mzuri sana, kazi zangu zote na wasaidizi wangu, tunatumia simu sana za nje na ndani ya Tanzania.

Hao voda wanafanya kitu inaitwa "directional promotion" sina uhakika kama unazijuwa hizi "terminology" za Sales and Marketing, zipo "a bit advanced" kwako, kwa maneno haya tu "targeted marketing" na "directional promotion" kwa muelewa wa hizo "terminology" angekwisha nielewa.

Pole kama huna uelewa wa hizo "terminology", inabidi wewe sasa ueleze kwanini vida kugawa simu za mkononi (ambayo ni biashara yao) iwe rushwa?

Zomba hii Directional Promotion unayosema ni sawa lakini inawalengaje wabunge tu? Tena katika kipindi ambacho wananchi wanalalamikia unyonyaji, uhafifu wa huduma na kodi kiduchu kutoka kwenye makampuni haya? Naona unachanganya Promotion na Corruption si sahihi.Kuna tofauti kubwa kati ya rushwa na promotion. Promotion are givings, take away or incentives ambazo zinatolewa kwa wateja ili kuwashawishi kununua bidhaa za kampuni yako.Ni mkakati wa kimasoko.

Rushwa ni givings (Si incentives) zinazotolewa ili kupindisha haki/ukweli wa jambo. Kwa hili (kama ni kweli) Vodacom wamelenga kuwazima midomo Wabunge katika mjadala wa kuyakaba makampuni haya kulipa kodi zaidi kwa Serikali.Na wabunge wetu wasivtyo wazalendo wamedaka blackberry hizo wamekaa kimya.Ni hisani ili wasipigie kelele suala la kodi kutoka kwenye makampuni haya ya kibeberu.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Zomba hii Directional Promotion unayosema ni sawa lakini inawalengaje wabunge tu? Tena katika kipindi ambacho wananchi wanalalamikia unyonyaji, uhafifu wa huduma na kodi kiduchu kutoka kwenye makampuni haya? Naona unachanganya Promotion na Corruption si sahihi.Kuna tofauti kubwa kati ya rushwa na promotion. Promotion are givings, take away or incentives ambazo zinatolewa kwa wateja ili kuwashawishi kununua bidhaa za kampuni yako.Ni mkakati wa kimasoko.

Rushwa ni givings (Si incentives) zinazotolewa ili kupindisha haki/ukweli wa jambo. Kwa hili (kama ni kweli) Vodacom wamelenga kuwazima midomo Wabunge katika mjadala wa kuyakaba makampuni haya kulipa kodi zaidi kwa Serikali.Na wabunge wetu wasivtyo wazalendo wamedaka blackberry hizo wamekaa kimya.Ni hisani ili wasipigie kelele suala la kodi kutoka kwenye makampuni haya ya kibeberu.
Kwa kuongezea tu, mbona kabla Bunge halijaanza Mkurugenzi wa Voda, aliita "press confrnc" na kutoa takwimu za contribution ya Voda katika kodi. Alijumlisha mpaka pesa za mwaka huu ambazo bado hajalipa nahesabu ikagonga Tsh bil. 700 ! Taarifa ilikuwa "uniform" (inawezekana na wahariri walilamba "BB") kwa magazeti yote, na hakuna maswali na maji ! Ukigawa kwa miaka 12 ya huduma yao, utaona jinsi wasivyolipa kodi. Kama idadi ya wateja inazidi wote, iweje Airtel wawe ndani ya 15 bora ya TRA LAKINI WAO HAWAMO ? Haya ni sawa na Marudio ya akina Jairo kufanya kampeni ya makusudi wizara husika bajeti yake ipite (funika kombe.....................!)
Huu ni udhalilishaji tu kwa wabunge !
 
Kuna tofauti kubwa kati ya rushwa na promotion. Promotion are givings, take away or incentives ambazo zinatolewa kwa wateja ili kuwashawishi kununua bidhaa za kampuni yako.Ni mkakati wa kimasoko.

Rushwa ni givings (Si incentives) zinazotolewa ili kupindisha haki/ukweli wa jambo. Kwa hili (kama ni kweli) Vodacom wamelenga kuwazima midomo Wabunge katika mjadala wa kuyakaba makampuni haya kulipa kodi zaidi kwa Serikali.Na wabunge wetu wasivtyo wazalendo wamedaka blackberry hizo wamekaa kimya.Ni hisani ili wasipigie kelele suala la kodi kutoka kwenye makampuni haya ya kibeberu.

In theory unachosema ni sahihi. Lakini katika ulimwengu wa biashara promotion au ukitaka 'incentives' ni kama cream & strawberry. Wewe umetoa defination ya darasani -theory, lakini kwenye biashara hasa biashara kubwa mambo hayako hivyo, promotion ni kama zulia la rushwa.

Mjadala wa kodi hasa the top 15 tax payers for the last 5 yrs umekuwepo tangu mwaka jana. Vodacom hawapo kwenye list, lakini Airtel wenye wateja nusu ya Vodacom wapo! Bunge limekuwa 'indifferent' kwenye huu utata. Kamati ya miundo mbinu ambayo ilikuwa very vocal kwenye issue ya bandari na ambayo inahusika na hii sekta ya Telecom imakuwa very mellow.

Incidentally, mwanzo wa bunge hili la bajeti, Vodacom walikwenda Dodoma, wakafanya kikao na kamati hiyo ya miundo mbinu, then Spika, halafu baadae wkatoka nje na kuita press conference kutangaza kiwango cha kodi! 2 weeks later tunasoma kuwa kamati ya miundo mbinu na Spika walipewa blackberry! So far hakuna statement yoyote toka kwa ama spika au kamati ya miundo mbinu kama walipewa Blackberry au la. Lakini maswali ni haya:

1. Kwa nini Vodacom wafanyie press conference Dodoma kuhusu kodi, tena baada ya kufanya kikao na kamati/spika?
2. Iko wapi breakdown ya kodi kwa kila mwaka (walisema wamelipa Tshs 700m since 2001)
3. Tuna wabunge zaidi 300. Kwa nini promotion ifanyike kwa kamati inayosimamia telecoms na Spika?
4. Katika mazingira haya utatenganisha vipi rushwa na promotion?
 
Mkuu, mimi natoka ukoo wa kimweli mkuu. Vodacom wahuni sana wanaibia sana watu na mkemwenza wao Tigo. Na hao wabunge hawakutakiwa kuchukua hizo BB cz ni kama rushwa au kuna interest ndani yake ili kuwashika, kama yule jamaa aliyekuwa kila akisimama yeye ni kusema airtel tu kama vile anahisa
 
Vodacom hata mimi wananipa simu mpya kila mwaka mwaka wa nne huu, kwa sasa ni BB ya tatu na kila wakinipa simu mpya wananipa na maongezi ya bure. Kwa kuwa ni mteja wao mzuri na hawataki nihame.

Dunia zingine sasa hivi simu ni bure bora utumie mtandao wao tu, kwa sasa hapa kwetu zinakwenda kwa "targeted market" lakini itafika huko kwa bure kwa wote ushindani ukizidi. Biashara ni matangazo, ujuwe hizo zinatoka kwenye bajeti yao ya matangazo, hiyo inaitwa "directional promotion" na si hongo hilo.

If I can deduce from your post...........why wabunge wa kamati hiyo and why now?????
 
Zomba hii Directional Promotion unayosema ni sawa lakini inawalengaje wabunge tu? Tena katika kipindi ambacho wananchi wanalalamikia unyonyaji, uhafifu wa huduma na kodi kiduchu kutoka kwenye makampuni haya? Naona unachanganya Promotion na Corruption si sahihi.Kuna tofauti kubwa kati ya rushwa na promotion. Promotion are givings, take away or incentives ambazo zinatolewa kwa wateja ili kuwashawishi kununua bidhaa za kampuni yako.Ni mkakati wa kimasoko.

Rushwa ni givings (Si incentives) zinazotolewa ili kupindisha haki/ukweli wa jambo. Kwa hili (kama ni kweli) Vodacom wamelenga kuwazima midomo Wabunge katika mjadala wa kuyakaba makampuni haya kulipa kodi zaidi kwa Serikali.Na wabunge wetu wasivtyo wazalendo wamedaka blackberry hizo wamekaa kimya.Ni hisani ili wasipigie kelele suala la kodi kutoka kwenye makampuni haya ya kibeberu.

Bado hamjaja na ushahidi wa kutosha kuaminisha kuwa hiyo ni rushwa. Ingekuwa vodacom au makampuni mengine ya simu hawafanyi promotion za namna hiyo hiyo kwa wengine hapo mngenishawishi nifikirie upya. Mpaka sasa hiyo ni "promotion" na hakuna zaidi.
 
Hiyo ndio niliyokwambia "targeted marketing", wakati una budget ya "promotion" ya kiasi fulani ambayo haitoshi kwa bunge zima, una prioritize target yako na unaifanya kuwa ni "directional promotion", na kuna vigezo vingi, kwa sasa wameona target nzuri ni hiyo.

Hiyo si rushwa hata kidogo. Hiyo ni pure promotion. Ni kama vile wauza Beer za Serengeti au Kilimanjaro wanapochaguwa bar fulani wakafanye promotion na kugawa vinywaji vya bure, kwanini hawagawi bar zote? Hiyo ni "directional promotion".


Zomba why are you too low today...........wangechagua wabunge sawa tena ingekuwa randomly au wale ambao account zao huko voda ziko juu sawa....ila kwa wajumbe wa kamati mkuu huoni shida hapo??????

It seems like unaongelea purposive sampling ila lazima kuwe na vigezo as well......vyao ni huu ujumbe wa kamati?????

Hao TBL wakifika bar huwa wanachagua meza, jinsia, umbile au wanamwaga tu biere??????

Leo unayumba mkuu................!!!!!!!!!!!!!!???????????????
 
  • Thanks
Reactions: FJM
zomba

1. Nimekuuliza huko juu kwanini ufikirie kuwa kamati ya miundo mbinu ihongwe na vodacom? ili iweje? huwezi kukurupuka hiyo ni rushwa kama huwezi kusema ni rushwa kwa ajili gani au ili iweje? huna!

Niruhusu niseme hivi; uko very naive! Vodacom wana wateja zaidi ya 10 million. Airtel wana wateja nusu ya Vodocom. Kwenye list ya top 15 tax payers Vodacom hawapo lakini Airtel wenye wateja nusu ya Vodacom wapo! Kamati ya miundo mbinu ndiyo inasimamia telecom sector. But let me also tell you this, week chache zilizopota Naibu waziri wa Science & Technology January Makamba alisema ana reliable information toka TRCA kwamba makampuni ya simu yanadanganya kuhusu mapato yao na hivyo kukwepa kodi.


2. hata mimi napewa simu moja kila mwaka na huu ni mwaka wa tatu wananibadilishia BB, ya kwanza 9600, ya pili 9700, ya tatu 9900 zote hizo BOLD kabla ya hapo walishanipa Samsumg (miaka minne iliyopita) na si mimi pekee, ofisini kwangu nna wasaidizi wangu wanne na wote wanapewa BB, jumla tunaletewa BB tano kila mwaka. Mimi sipo kwenye kamati ya miundo mbinu wala bungeni wala Serikalini, ni mkulima tu wa kawaida na biashara zingine ni "consultant" Jee, na mimi wananipa rushwa?

Hawakupi rushwa, hiyo inaitwa 'reward for loyalty = loyaly scheme. Mtindo wa loyalty unatumia sana ili kusaidia 'repeat purchase'. Kumbuka gharama za kumpata mteja mpya mara nyingi huwa juu kuliko za ku-maintain. So loyalty scheme (if you like direct promotion) is one way of staying close to your customers.

3. Hao voda wanafanya kitu inaitwa "directional promotion" sina uhakika kama unazijuwa hizi "terminology" za Sales and Marketing, zipo "a bit advanced" kwako, kwa maneno haya tu "targeted marketing" na "directional promotion" kwa muelewa wa hizo "terminology" angekwisha nielewa.

I am not illiterate, nafahamu hizo terms perfectly na hakuna cha ajabu kabisa. Nilitaka unipe meaning yenye uhalisia badala ya hizi description za 1st year. Pamoja na kuunga-unga kwako kuna kitu umesahau, kinaitwa - lobbying!. Kamati ya miundo mbinu hawako bungeni kulima mboga mboga, they are there to make laws na kuhoji utendaji wa serikali pamoja na taasisi zake including those kwenye telecom sector.
 
Last edited by a moderator:
zomba

1. Nimekuuliza huko juu kwanini ufikirie kuwa kamati ya miundo mbinu ihongwe na vodacom? ili iweje? huwezi kukurupuka hiyo ni rushwa kama huwezi kusema ni rushwa kwa ajili gani au ili iweje? huna!

Niruhusu niseme hivi; uko very naive! Vodacom wana wateja zaidi ya 10 million. Airtel wana wateja nusu ya Vodocom. Kwenye list ya top 15 tax payers Vodacom hawapo lakini Airtel wenye wateja nusu ya Vodacom wapo! Kamati ya miundo mbinu ndiyo inasimamia telecom sector. But let me also tell you this, week chache zilizopota Naibu waziri wa Science & Technology January Makamba alisema ana reliable information toka TRCA kwamba makampuni ya simu yanadanganya kuhusu mapato yao na hivyo kukwepa kodi.


2. hata mimi napewa simu moja kila mwaka na huu ni mwaka wa tatu wananibadilishia BB, ya kwanza 9600, ya pili 9700, ya tatu 9900 zote hizo BOLD kabla ya hapo walishanipa Samsumg (miaka minne iliyopita) na si mimi pekee, ofisini kwangu nna wasaidizi wangu wanne na wote wanapewa BB, jumla tunaletewa BB tano kila mwaka. Mimi sipo kwenye kamati ya miundo mbinu wala bungeni wala Serikalini, ni mkulima tu wa kawaida na biashara zingine ni "consultant" Jee, na mimi wananipa rushwa?

Hawakupi rushwa, hiyo inaitwa 'reward for loyalty = loyaly scheme. Mtindo wa loyalty unatumia sana ili kusaidia 'repeat purchase'. Kumbuka gharama za kumpata mteja mpya mara nyingi huwa juu kuliko za ku-maintain. So loyalty scheme (if you like direct promotion) is one way of staying close to your customers.

3. Hao voda wanafanya kitu inaitwa "directional promotion" sina uhakika kama unazijuwa hizi "terminology" za Sales and Marketing, zipo "a bit advanced" kwako, kwa maneno haya tu "targeted marketing" na "directional promotion" kwa muelewa wa hizo "terminology" angekwisha nielewa.

I am not illiterate, nafahamu hizo terms perfectly na hakuna cha ajabu kabisa. Nilitaka unipe meaning yenye uhalisia badala ya hizi description za 1st year. Pamoja na kuunga-unga kwako kuna kitu umesahau, kinaitwa - lobbying!. Kamati ya miundo mbinu hawako bungeni kulima mboga mboga, they are there to make laws na kuhoji utendaji wa serikali pamoja na taasisi zake including those kwenye telecom sector.

Umetisha mkuu ! Jamaa anafikiri Philip Kotler yuko mbaali ! Ngoja tumsubiri akachimbe dawa arudi tena na utetezi mpya !!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: FJM
Bado hamjaja na ushahidi wa kutosha kuaminisha kuwa hiyo ni rushwa. Ingekuwa vodacom au makampuni mengine ya simu hawafanyi promotion za namna hiyo hiyo kwa wengine hapo mngenishawishi nifikirie upya. Mpaka sasa hiyo ni "promotion" na hakuna zaidi.

mbona miongoni mwao hao wabunge wameikataa hiyo Promotion !? Wao wana uelewa finyu wa hiyo promotion ?
Kuna waakati Msekwa alikuwa Board Chairman, hiyo pia ilikuwa rushwa ya kuzuiwa "wasiulizwe ulizwe"
mfano:
Kampuni ya Unilever (UK) ilianzisha kitengo cha lobbying, na wakaweka kabisa msomiati, wakimlipa mtu kwa lobbying wanaita lobbying fees. Baadae ikagundulika ni mbinu za rushwa na ikapigwa marufuku na serikali (ili kuwa kama ujanja wa ile issue ya takrimaa) Voda ni wakwepa kodi na watoa rushwa period !
 
  • Thanks
Reactions: FJM
zomba

1. Nimekuuliza huko juu kwanini ufikirie kuwa kamati ya miundo mbinu ihongwe na vodacom? ili iweje? huwezi kukurupuka hiyo ni rushwa kama huwezi kusema ni rushwa kwa ajili gani au ili iweje? huna!

Niruhusu niseme hivi; uko very naive! Vodacom wana wateja zaidi ya 10 million. Airtel wana wateja nusu ya Vodocom. Kwenye list ya top 15 tax payers Vodacom hawapo lakini Airtel wenye wateja nusu ya Vodacom wapo! Kamati ya miundo mbinu ndiyo inasimamia telecom sector. But let me also tell you this, week chache zilizopota Naibu waziri wa Science & Technology January Makamba alisema ana reliable information toka TRCA kwamba makampuni ya simu yanadanganya kuhusu mapato yao na hivyo kukwepa kodi.


2. hata mimi napewa simu moja kila mwaka na huu ni mwaka wa tatu wananibadilishia BB, ya kwanza 9600, ya pili 9700, ya tatu 9900 zote hizo BOLD kabla ya hapo walishanipa Samsumg (miaka minne iliyopita) na si mimi pekee, ofisini kwangu nna wasaidizi wangu wanne na wote wanapewa BB, jumla tunaletewa BB tano kila mwaka. Mimi sipo kwenye kamati ya miundo mbinu wala bungeni wala Serikalini, ni mkulima tu wa kawaida na biashara zingine ni "consultant" Jee, na mimi wananipa rushwa?

Hawakupi rushwa, hiyo inaitwa 'reward for loyalty = loyaly scheme. Mtindo wa loyalty unatumia sana ili kusaidia 'repeat purchase'. Kumbuka gharama za kumpata mteja mpya mara nyingi huwa juu kuliko za ku-maintain. So loyalty scheme (if you like direct promotion) is one way of staying close to your customers.

3. Hao voda wanafanya kitu inaitwa "directional promotion" sina uhakika kama unazijuwa hizi "terminology" za Sales and Marketing, zipo "a bit advanced" kwako, kwa maneno haya tu "targeted marketing" na "directional promotion" kwa muelewa wa hizo "terminology" angekwisha nielewa.

I am not illiterate, nafahamu hizo terms perfectly na hakuna cha ajabu kabisa. Nilitaka unipe meaning yenye uhalisia badala ya hizi description za 1st year. Pamoja na kuunga-unga kwako kuna kitu umesahau, kinaitwa - lobbying!. Kamati ya miundo mbinu hawako bungeni kulima mboga mboga, they are there to make laws na kuhoji utendaji wa serikali pamoja na taasisi zake including those kwenye telecom sector.

1. Kama wanakwepa kodi kwa hiyo kama ti ya miundo mbinu ndio wanashirikiana nao? hujui kuwa kodi zinafatiliwa na TRA? hoja yako ni dhaifu.

2. Lobbying si kufanya "promotion" ya simu. Promotion za simu kugaiwa kwa idara za Serikali pia zipo wacha bunge, Polisi wameshapewa sana simu, magari, mapikipiki. Hospitali pia zimeshapewa simu, mashirika mengi sana ya nje na ya ndani yanapewa simu na makampuni ya simu. Hiyo yote ni promotion.

Bado hujaja na hoja ya kuwa hiyo ni rushwa naona unazunguka zunguka na ushahidi hauna. Kwani kamati ya miundo mbinu pekee ndio inatunga sheria za bunge? kama kuhonga si wangemhonga Makamba aliyoyasema hayo na wana access nae nzuri sana kupitia Dada'ke? mbona yeye ndiye aliyeyasema hayo, hoja yako haina mashiko.
 
mbona miongoni mwao hao wabunge wameikataa hiyo Promotion !? Wao wana uelewa finyu wa hiyo promotion ?
Kuna waakati Msekwa alikuwa Board Chairman, hiyo pia ilikuwa rushwa ya kuzuiwa "wasiulizwe ulizwe"
mfano:
Kampuni ya Unilever (UK) ilianzisha kitengo cha lobbying, na wakaweka kabisa msomiati, wakimlipa mtu kwa lobbying wanaita lobbying fees. Baadae ikagundulika ni mbinu za rushwa na ikapigwa marufuku na serikali (ili kuwa kama ujanja wa ile issue ya takrimaa) Voda ni wakwepa kodi na watoa rushwa period !

Hata kweye promotion ya Serengeti zinapogaiwa bure, kama wewe si mnywaji wa Serengeti utazichukuwa unywe tu kwa kuwa ni "promotion"? hoja yako dhaifu.
 
Hata kweye promotion ya Serengeti zinapogaiwa bure, kama wewe si mnywaji wa Serengeti utazichukuwa unywe tu kwa kuwa ni "promotion"? hoja yako dhaifu.

Hivyo BB ni sawa na Serengeti ?! Yaani: Tsh 1,500/=, sawa na Tsh 1,000,000/= !!?
 
1. Kama wanakwepa kodi kwa hiyo kama ti ya miundo mbinu ndio wanashirikiana nao? hujui kuwa kodi zinafatiliwa na TRA? hoja yako ni dhaifu.

2. Lobbying si kufanya "promotion" ya simu. Promotion za simu kugaiwa kwa idara za Serikali pia zipo wacha bunge, Polisi wameshapewa sana simu, magari, mapikipiki. Hospitali pia zimeshapewa simu, mashirika mengi sana ya nje na ya ndani yanapewa simu na makampuni ya simu. Hiyo yote ni promotion.

Bado hujaja na hoja ya kuwa hiyo ni rushwa naona unazunguka zunguka na ushahidi hauna. Kwani kamati ya miundo mbinu pekee ndio inatunga sheria za bunge? kama kuhonga si wangemhonga Makamba aliyoyasema hayo na wana access nae nzuri sana kupitia Dada'ke? mbona yeye ndiye aliyeyasema hayo, hoja yako haina mashiko.

Hapo kwenye red, shida uliyonayo ni kwamba mtu akikupa simu au kitu kingine chochote under the cover of 'promtion' utachukulia hivyo hivyo! Huu ni uvivu wa kufikiri. Unatakiwa kupanua your thinking na kujiuliza the reason behind hicho ulichopewa na uridhike kweli ni promotion and no other interior motives behind.

Sijui umefuatilia kwa kiasi gani mambo ya telecom. Hizo pikipiki, magari, simu wanazotoa hao unaowatetea wao wanahesabu kama sehemu ya kodi! Really, zomba, akili za mbayuwayu ni lazima uchanganye na zako otherwise utaendele kutetea mambo kwa hizi definations za 1st year. Na ndio sababu nilikuuliza 'promotion' inaweza kuwa rushwa, na wewe ukajibu hapana!

Ni wazi huelewi uwepo wa 'fine line' between promotion, lobbying na rushwa and unless ujifunze na uelewe haya mambo utaendelea kutetea mambo kwa hoja za reja reja.

Kuhusu kazi za kamati ya miundo mbinu, kama unaamini sio chochote si lolote, basi niambie ni kwanini Vodacom waende all the way to Dodoma kukutana nao na sio kamati nyingine? Why this committee? Kuna nini special? Promotion? You dont need to be a brain surgen kujua this is beyond promotion.
 
zomba

1. Nimekuuliza huko juu kwanini ufikirie kuwa kamati ya miundo mbinu ihongwe na vodacom? ili iweje? huwezi kukurupuka hiyo ni rushwa kama huwezi kusema ni rushwa kwa ajili gani au ili iweje? huna!

Niruhusu niseme hivi; uko very naive! Vodacom wana wateja zaidi ya 10 million. Airtel wana wateja nusu ya Vodocom. Kwenye list ya top 15 tax payers Vodacom hawapo lakini Airtel wenye wateja nusu ya Vodacom wapo! Kamati ya miundo mbinu ndiyo inasimamia telecom sector. But let me also tell you this, week chache zilizopota Naibu waziri wa Science & Technology January Makamba alisema ana reliable information toka TRCA kwamba makampuni ya simu yanadanganya kuhusu mapato yao na hivyo kukwepa kodi.


2. hata mimi napewa simu moja kila mwaka na huu ni mwaka wa tatu wananibadilishia BB, ya kwanza 9600, ya pili 9700, ya tatu 9900 zote hizo BOLD kabla ya hapo walishanipa Samsumg (miaka minne iliyopita) na si mimi pekee, ofisini kwangu nna wasaidizi wangu wanne na wote wanapewa BB, jumla tunaletewa BB tano kila mwaka. Mimi sipo kwenye kamati ya miundo mbinu wala bungeni wala Serikalini, ni mkulima tu wa kawaida na biashara zingine ni "consultant" Jee, na mimi wananipa rushwa?

Hawakupi rushwa, hiyo inaitwa 'reward for loyalty = loyaly scheme. Mtindo wa loyalty unatumia sana ili kusaidia 'repeat purchase'. Kumbuka gharama za kumpata mteja mpya mara nyingi huwa juu kuliko za ku-maintain. So loyalty scheme (if you like direct promotion) is one way of staying close to your customers.

3. Hao voda wanafanya kitu inaitwa "directional promotion" sina uhakika kama unazijuwa hizi "terminology" za Sales and Marketing, zipo "a bit advanced" kwako, kwa maneno haya tu "targeted marketing" na "directional promotion" kwa muelewa wa hizo "terminology" angekwisha nielewa.

I am not illiterate, nafahamu hizo terms perfectly na hakuna cha ajabu kabisa. Nilitaka unipe meaning yenye uhalisia badala ya hizi description za 1st year. Pamoja na kuunga-unga kwako kuna kitu umesahau, kinaitwa - lobbying!. Kamati ya miundo mbinu hawako bungeni kulima mboga mboga, they are there to make laws na kuhoji utendaji wa serikali pamoja na taasisi zake including those kwenye telecom sector.

Unaposema wanakupa BBM wewe na wasaidizi wako wanne kila mwaka ni kwa kuwa nyie ni wateja wao na mko kwenye Database zao. So kwa wewe hiyo inaweza kuwa promotion kwa kuwa mmekuwa may be Pre-paid customers wa uhakika.

Sasa kwa wabunge wetu wa Kamati ya Miundombinu ambao haiwezekani wote kwa usare (uniformity) wao kuwa wateja wa Vodacom wamepewa BBM hizo za nini? Ni promotion ipi inayotolewa na Vodacom kwa mtu anayetumia mtandao wa Airtel/Zantel/tiGO? Unaweza kusema lengo ni kuwafanya waachane na mitandao yao kwa nini iwe kwa wabunge tu? tena katika kipindi hiki cha kelele za huduma zao mbovu, gharama kubwa za mawasiliano na wao kutokulipa kodi stahiki?

Hii haihitaji unajimu kubaini kuwa ni mbinu ya kuziba watu midomo. Haina tofauti na madudu ya rushwa yanayoripotiwa ndani ya Kamati ya Bunge ya Mrema LAAC.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom