Vodacom wamelipa kodi serikalini shs 700 billion?

Kuna habari Michuzi blog inasema hivi:

"Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Bw Rene Meza akieleza jinsi Vodacom ilivyochangia zaidi ya
shilingi billion 700 katika malipo ya kodi ya serikali alipokutana na waandishi wa habari mjini Dodoma".

Tarehe 28/08/2011 Waziri Mkuu Mizengo Pinda alisoma bungeni orodha ya makampuni 15 yanayoongoza kwa kulipa kodi;

1.TBL(Tsh bilioni 165.4)

2.NMB(Tsh bilioni 108.6)

3.TCC (Tsh bilioni 92.1)

4.NBC (Tsh bilioni 89.9)

5.CRDB Bank Ltd(Tsh bilioni 79.2)

6.Tanzani Ports Authority(Tsh bilioni 76.8)

7.Tanzania Portland Authority(Tsh 73.4 bilioni)

8.Airtel(T) Ltd(Tsh bilioni 63.6)

9.Tanga cement company Ltd(Tsh 43.6)

10.Standard chartered Bank Ltd(Tsh bilioni 40)

11.Citibank(T) Ltd(Tsh bilioni 35.7)

12.Resolute(T) Ltd(Tsh bilioni 32.1)

13.TICTS(Tsh bilioni 25.9)

14.Tanzania Distillers Ltd(Tsh bilioni 13.4)

15.Group five international(PTY) Ltd(Tsh bilioni 9.5)

Je, Inawezekana Waziri Mkuu alitumia wrong data? Maana kama Vodacom wamelipa kodi shs 700 billion walitakuwa wawe Number 1. Hapa kuna mkanganyiko.

Kuna mambo yanachanganya sana ,VODACOM wameona biashara ya tel. ina-kodi zilizowazi wamehama na wameweka nguvu kubwa sana kwenye M-PESA .Ndio ujiulize inakuwa VODACOM haipo kwenye topten!!!!

Mpaka serikali itambue mchezo mchafu wa hizi kampuni za simu ,VODACOM ikiwa ndio kinara kwenye sekta ya mobile money tutakuwa tumebaki masikini wa kutupa.Wanalipa kodi bil 700 tokea kampuni ianzishwe wakati misamaha ya kodi tunayosamehe ni zaidi ya 1.2 Tril.,hii ni akili ama matope?.Misamaha mingi ya kodi inayotolewa ni kwa hizi kampuni za simu,kwa ujanja ujanja wa kudanganya kuwa kuna shughuli wanachangia kwenye maendeleo ya jamii (social responsibility)...mfano Miss Vodacom ni social responsibility !!!!!!
 
  • Thanks
Reactions: FJM

hata kama ni toka wameanza bado wanapaswa kuona aibu, January makamba anasema mwaka 2010 peke yake hizi kampuni (kwa ujumla wake) zilitengeneza faida ya dola billioni moja, kwa hesabu hizo hizi kampuni zingehitaji kulipa USD300 million kwa huo mwaka ambayo ni around 450 billion TZS, sasa hizi ni jumla kwa makumpuni yote ya simu na kwa hesabu hizi na kuangalia market share ya voda unaweza kuona ni kiasi gani hawa jamaa wanatuzunguka

Uswe, there is no way Vodacom wamelipa shs 700bn. Huu ni uhuni. Walichokifanya hapa ni kujumlisha hela za CSR (corporate social responsibilty) na kuziita kodi! Yale madawati ndio hayo yanageuzwa kuwa kodi! Na waandishi wa habari mtu kama Neville Meena wameshindwa kuuliza maswali kama wasomi. Wametuandika haya matapishi which is an insult to Tanzanians.

Walitakiwa kuuliza two very simple questions: Mwaka jana walilipa kiasi gani, na kwa nini jina la kampuni halikuwa kwenye orodha ya top 15 tax payers in this country for the last 15 years.
 
Last edited by a moderator:
Kuna habari Michuzi blog inasema hivi:

"Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Bw Rene Meza akieleza jinsi Vodacom ilivyochangia zaidi ya
shilingi billion 700 katika malipo ya kodi ya serikali alipokutana na waandishi wa habari mjini Dodoma".

Tarehe 28/08/2011 Waziri Mkuu Mizengo Pinda alisoma bungeni orodha ya makampuni 15 yanayoongoza kwa kulipa kodi;

1.TBL(Tsh bilioni 165.4)

2.NMB(Tsh bilioni 108.6)

3.TCC (Tsh bilioni 92.1)

4.NBC (Tsh bilioni 89.9)

5.CRDB Bank Ltd(Tsh bilioni 79.2)

6.Tanzani Ports Authority(Tsh bilioni 76.8)

7.Tanzania Portland Authority(Tsh 73.4 bilioni)

8.Airtel(T) Ltd(Tsh bilioni 63.6)

9.Tanga cement company Ltd(Tsh 43.6)

10.Standard chartered Bank Ltd(Tsh bilioni 40)

11.Citibank(T) Ltd(Tsh bilioni 35.7)

12.Resolute(T) Ltd(Tsh bilioni 32.1)

13.TICTS(Tsh bilioni 25.9)

14.Tanzania Distillers Ltd(Tsh bilioni 13.4)

15.Group five international(PTY) Ltd(Tsh bilioni 9.5)

Je, Inawezekana Waziri Mkuu alitumia wrong data? Maana kama Vodacom wamelipa kodi shs 700 billion walitakuwa wawe Number 1. Hapa kuna mkanganyiko.

Mkuu FJM wanachodai hao Vodacom malipo hayo ya kodi ni tangu 2001 mpaka 2012/2013, lakini cha ajabu wameminya mapato yao tangu mwaka huo wa 2001 ili tuone uwiano wa mapato ya kampuni hiyo na ulipaji wao hiyo bilioni 700. Kwa maoni yangu hii ni pesa ndogo sana ulinganisha na mapato yao makubwa wanayowalangua Watanzania watumiaji wa huduma zao.

 
  • Thanks
Reactions: FJM
Uswe, there is no way Vodacom wamelipa shs 700bn. Huu ni uhuni. Walichokifanya hapa ni kujumlisha hela za CSR (corporate social responsibilty) na kuziita kodi! Yale madawati ndio hayo yanageuzwa kuwa kodi! Na waandishi wa habari mtu kama Neville Meena wameshindwa kuuliza maswali kama wasomi. Wametuandika haya matapishi which is an insult to Tanzanians.

Walitakiwa kuuliza two very simple questions: Mwaka jana walilipa kiasi gani, na kwa nini jina la kampuni halikuwa kwenye orodha ya top 15 tax payers in this country for the last 15 years.

Ni kweli FJM,

It is an insult to us, najua wamejumlisha pesa za CSR na bila shaka hata zile za wtanzania ambazo kwa mapenzi yao walichangia ndugu zao (mfano zile za moyo na fistula campaign), Mwanvita aje akanushe hii kama si kweli.

Lakini pia hata kama ni kweli wamelipa 580b (hapa nimetoa 120 ambazo hata wao wanakiri hawajalipa ila wamezijumlisha kwa sababu 'eti' wanategemea kuzilipa hadi itapofika 2013) toka wameanza operations May 18, 2010 bado ni kidogo, ilipofika tarehe 18 May 2012 voda walifikisha miaka 12 toka waanze operations, kama wamelipa 580b hadi sasa maana yake ni wamelipa wastani wa 48.3b kwa mwaka ( i.e 580/12), huu ni uongo kwa sababu wangefikisha hii figure (pamoja na kwamba ni uongo) tungekua tumeshawaona katika top tax payers, mfano 2010 Tanga cement walikua wa tisa na walilipa 43b.

Mwanvita aje atuambie kila mwaka wamelipa kodi kiasi gani, tutajumlisha wenyewe (asitusaidie kujumlisha)

 
  • Thanks
Reactions: FJM
Huu ni ujinga!!!! Kwa nn watoe taarifa hii wakati huu, in maana ni double coincidence au ni nini. Sijawahi kuiamini VODACOM katika masuala ya kodi hata siku moja mpaka uuongozi huu (wa CCM) uliopo uondoke madarakani!!!
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Ni kweli FJM,

It is an insult to us, najua wamejumlisha pesa za CSR na bila shaka hata zile za wtanzania ambazo kwa mapenzi yao walichangia ndugu zao (mfano zile za moyo na fistula campaign), Mwanvita aje akanushe hii kama si kweli.

Lakini pia hata kama ni kweli wamelipa 580b (hapa nimetoa 120 ambazo hata wao wanakiri hawajalipa ila wamezijumlisha kwa sababu 'eti' wanategemea kuzilipa hadi itapofika 2013) toka wameanza operations May 18, 2010 bado ni kidogo, ilipofika tarehe 18 May 2012 voda walifikisha miaka 12 toka waanze operations, kama wamelipa 580b hadi sasa maana yake ni wamelipa wastani wa 48.3b kwa mwaka ( i.e 580/12), huu ni uongo kwa sababu wangefikisha hii figure (pamoja na kwamba ni uongo) tungekua tumeshawaona katika top tax payers, mfano 2010 Tanga cement walikua wa tisa na walilipa 43b.

Mwanvita aje atuambie kila mwaka wamelipa kodi kiasi gani, tutajumlisha wenyewe (asitusaidie kujumlisha)


Uswe, tuko pamoja, wangekuw No 9 nyuma ya Airtel! Kwa maneno mengine Vodacom wametoa uthibitisho kuwa wanalipa kodi kidogo kuliko Airtel! Na huu ndio utani mbaya sana kwa sababu Vodacom wana wateja mara mbili ya Airtel, na M-pesa inawaingizia pesa sana. Ndio maana sasa hivi CSR zao nyingi zimeegemea mtindo wa kuchangia through M-pesa. Hivi Neville Meena na wenzake hawakuona hili?
 
Uswe, tuko pamoja, wangekuw No 9 nyuma ya Airtel! Kwa maneno mengine Vodacom wametoa uthibitisho kuwa wanalipa kodi kidogo kuliko Airtel! Na huu ndio utani mbaya sana kwa sababu Vodacom wana wateja mara mbili ya Airtel, na M-pesa inawaingizia pesa sana. Ndio maana sasa hivi CSR zao nyingi zimeegemea mtindo wa kuchangia through M-pesa. Hivi Neville Meena na wenzake hawakuona hili?

nasikia huwa wakienda kwenye matukio kama yale (ambayo mwanvita anaandaa speech na wao wanatakiwa tu wakachapishe kwenye magazeti yao kama ilivyo) huwa wanawezeshwa, lakini kwa watu wanaofikiri kama FJM huku ni kujidhalilisha

Voda hawajawahi kuwa wakweli, tukikumbushana tu historia, shareholders kwa muda mrefu ni rostam na yule alikuwaga bot akapata kashfa ya epa akahamishiwa kwenye benki nyingine ya umma kama managing director huko zikapelekwa pesa eti za epa . . . nchi kuna vituko!

 
nasikia huwa wakienda kwenye matukio kama yale (ambayo mwanvita anaandaa speech na wao wanatakiwa tu wakachapishe kwenye magazeti yao kama ilivyo) huwa wanawezeshwa, lakini kwa watu wanaofikiri kama FJM huku ni kujidhalilisha

Voda hawajawahi kuwa wakweli, tukikumbushana tu historia, shareholders kwa muda mrefu ni rostam na yule alikuwaga bot akapata kashfa ya epa akahamishiwa kwenye benki nyingine ya umma kama managing director huko zikapelekwa pesa eti za epa . . . nchi kuna vituko!


Hapo kwenye red: Uko sahihi kabisa. Magazeti ya mwananchi na Tanzania daima wametoa hii taarifa ya kodi shs 700bh utafikiri imeandikwa na mtu mmoja! Haiwezekani magazeti mawili yaandike almost 'word for word'. Jukwaa la wahiriri waangalie hili maana linaleta dhana mbaya sana kuhusu 'ethics' za kazi kwenye hii tasnia ya habari.
 
vodacom ni miongoni mwa wakwepaji wakubwa wa kodi hapa nchini na hii inatokana na wanahisa wake kuwa na sauti katika uongozi wa nchi hii.
Mwaka huu walitangaza wamefikisha wateja milioni 10 kwa idadi hiyo ya pesa ambayo wameanza kulipa toka waingie ni ndogo sana
kuna uwezekano mkubwa kodi hii inatokana na ile wanayokatwa wafanyakazi paye
sasa hivi TCRA ndio wametangaza tenda ili kupata mtambo ambao utawawezesha kujua idadi ya simu zinazopigwa na kila kampuni ya simu na hapo hatujui juu ya huduma kama M-Pesa
kuna kitu kimewapeleka bungeni siyo bure
Mwisho waandishi wanapoitwa wawe wanauliza maswali badala ya kuripoti kila wanachoambiwa
 
Kuna habari Michuzi blog inasema hivi:

"Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Bw Rene Meza akieleza jinsi Vodacom ilivyochangia zaidi ya
shilingi billion 700 katika malipo ya kodi ya serikali alipokutana na waandishi wa habari mjini Dodoma".

Tarehe 28/08/2011 Waziri Mkuu Mizengo Pinda alisoma bungeni orodha ya makampuni 15 yanayoongoza kwa kulipa kodi;

[/
FONT]1.TBL(Tsh bilioni 165.4)

2.NMB(Tsh bilioni 108.6)

3.TCC (Tsh bilioni 92.1)

4.NBC (Tsh bilioni 89.9)

5.CRDB Bank Ltd(Tsh bilioni 79.2)

6.Tanzani Ports Authority(Tsh bilioni 76.8)

7.Tanzania Portland Authority(Tsh 73.4 bilioni)

8.Airtel(T) Ltd(Tsh bilioni 63.6)

9.Tanga cement company Ltd(Tsh 43.6)

10.Standard chartered Bank Ltd(Tsh bilioni 40)

11.Citibank(T) Ltd(Tsh bilioni 35.7)

12.Resolute(T) Ltd(Tsh bilioni 32.1)

13.TICTS(Tsh bilioni 25.9)

14.Tanzania Distillers Ltd(Tsh bilioni 13.4)

15.Group five international(PTY) Ltd(Tsh bilioni 9.5)

Je, Inawezekana Waziri Mkuu alitumia wrong data? Maana kama Vodacom wamelipa kodi shs 700 billion walitakuwa wawe Number 1. Hapa kuna mkanganyiko.


Tigo pia ilikuwemo kwenye orodha hiyo ! Jamaa hana aibu eti amejumlisha kwa zaidi ya miaka kumi pamoja na za mwaka huu ambazo hazijalipwa pia kajumlish
a !
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom