mi sijui isee what is happening au ndo wazee wa 666
jamani toka jana simu yangu inaandika mtandao wa tritel wakati mi natumia vodacom,hivi hawa voda wanataka kubadili jina?
Mbona kwa wengine hiyo Tritel haionekani kwa wengine. Na Tritel ni mtandao uliowahi kuwepo,ila ulishanunuliwa na Mobitel(sasa Tigo)