Donkey
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 1,425
- 1,439
Vodacom Ubungo Plaza mbona wamelala?
Nilikuwa na shida ya M-Pesa nikamkuta mwanamke mmoja mweupe mnene kavaa miwami ananijibu kama hataki. Kwanini uliomba kazi vodacom?
Ndiyo tatizo la watanzania hawajui customer care; subiri tujiunge east africa community muone
Nilikuwa na shida ya M-Pesa nikamkuta mwanamke mmoja mweupe mnene kavaa miwami ananijibu kama hataki. Kwanini uliomba kazi vodacom?
Ndiyo tatizo la watanzania hawajui customer care; subiri tujiunge east africa community muone