mnyanyaswaji
JF-Expert Member
- Nov 10, 2009
- 478
- 117
Serikali yenyewe hipi haswa ya kuwatetea na kulinda ajira ya waTanzania? Serikali hii ya rais kuongwa vipande vya suti!!!!.waongwa
Mkuu naamini wabongo wakisimama kidete na kila kampuni kupaza sauti about huu muongezeko wa wageni non-professional lazima itachuka hatua, tatizo hao wafabyakazi wenyewe wauza sura tu kazi kulalamika tuu basi. Huu Ujinga hata Kenya hawawezi kukubali, only kwa waajiriwa wa Tanzania(waoga sana). Heri ya sisi tuliojiajiri kwa kilimo kuliko manyanyaso ya wahindi njaa wa bongo