Vodacom tz kwafukuta..

Papushka

Member
Oct 18, 2011
13
5
Yasemekana hali si shwari ndani ya Vodacom Tz hususan baada ya mkataba kati yake na Nokia Siemens Networks (NSN) kitengo cha Operations.
 

Attachments

  • COMPLAINTS ON FOREIGN EXPATRIATES.pdf
    39.9 KB · Views: 975
kwani agreement inasemaje?kuna baadhi ya senior positions zinatakiwa kupewa wazawa na zingine wapewe foreigners just like other institutions,ila naona almost senior position zote wamechukua hao makaburu na wahindi!!kweli hapo kuna tatizo may be hawatuamini watanzania,like what happened NBC LTD!
 
Mbona izi issue zina cut accross tungekuwa na viongozi serious robo ya watz wasio na ajila wangepata ajira faster
Bse kuna watu uko kwao ni washenzi tuu uku kwetu anakuja kuwa bosi hasa wahindi na wakaburu
 
Yasemekana hali si shwari ndani ya Vodacom Tz hususan baada ya mkataba kati yake na Nokia Siemens Networks (NSN) kitengo cha Operations.
Mkuu,
tuwekee huo gufaili wazi. Maana kudownload miatachimenti kunamaliza hela kwenye visimu vyetu,haswa sisi tunajivunia na sh 700 kwa intaneti ya siku moja.
 
Mkuu,
tuwekee huo gufaili wazi. Maana kudownload miatachimenti kunamaliza hela kwenye visimu vyetu,haswa sisi tunajivunia na sh 700 kwa intaneti ya siku moja.

hapo kwenye red hapo....hii hapa mkuu...

COMPLAINTS ON FOREIGN EXPATRIATES
Mr. Eric Shitindi
Permanent Secretary
Ministry of Labor and Employment (MLE)
The United Republic of Tanzania
P.O. Box 1422
DAR ES SALAAM, TANZANIA
cc. George M. Masaju
Deputy Attorney General
Attorney General's Chambers
The United Republic of Tanzania
cc. Mr. Mbarak M. Abdulwakil
Permanent Secretary
Ministry of Home Affairs
Government of Tanzania
cc. Mr. Eliezer Feleshi
Director of Public Prosecution (DPP)
cc. Mr. Robert Manumba
Director of Criminal Investigation (DCI)
Department of Criminal Investigation
Ministry of Home Affairs
cc. Dr. Edward Hoseah
Director General
Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB)
P O Box 4865
Dar es salaam, Tanzania
cc. Dr. K. W. D. Khomano
Director
Immigration Services Department
Ministry of Home Affairs
Mr. Permanent Secretary
Greetings
Re: Foreign Expatriates in Nokia Siemens Network (NSN) TANZANIA
We would like to table our complaints regarding unacceptable foreign expatriates' employment practices at
NSN for your attention and appropriate action.
We understand that one of the important reasons for encouraging investments in our country is to create
and increase employment opportunities for Tanzanians. However, it is increasingly becoming a tendency
for foreign workers to get employment opportunities and sometimes to be preferred employees in position,
professions and jobs that many Tanzanians are qualified for and can do, and one such a case is to be
found in NSN. We would like to present the following issues for your attention:
2
1. The following foreign employees are some of the expatriates working at NSN in positions, jobs and
with expertise abundantly available among local Tanzanians, and they therefore reduce the
chances and opportunities of Tanzanians to be employed.
2. We doubt whether some of these foreign employees have genuine work permits that actually
reflects what they are doing, because of their tendency to leave the country for a few days, often
when their visas are about to expire and re-enter, and therefore getting visas extension and
thereby abusing Tanzanians hospitality.
3. The above employees, are some of those who have had extended stay in the country, and are
different from many who come on short term basis for projects that can be done by Tanzanians
4. Several times we have witnessed officials from immigration services department coming and
leaving in ‘questionable' circumstances which leads to rife speculations that there are probably
dubious and unethical practices going on to maintain and protect the status quo.
5. Employed Tanzanians are increasingly subjected to difficult working conditions and frustrations as
a strategy towards forcing them to resign and find the working environment unbearable, to give
room to more foreign employees especially from India to get employment opportunities.
6. It would be best to scrutinize the legality and viability of the contract between Vodacom and NSN,
and whether it does not breach respective laws of the land. Moreover, the said contract had
contravened many rights of local employees, as your investigations would certainly and more
specifically reveal.
7. The adopted NSN strategy which seeks to centralize its services through a ‘global services
delivery approach' is being implemented and the looming transfer of Network Operations functions
and other strategic measures being rolled out is set to render many local employees unemployed
and even curtail the prospects of future employment opportunities. These measures apart from
affecting immediate employees, they also have a long-term implication to the nation.
We hope your esteemed offices will choose to take this matter seriously and out of patriotism endeavor to
ensure that profound screening is carried out and appropriate subsequent measures undertaken.
Thanking you,
Tanzanian Employees
NSN Tanzania
 
Imeingia mkataba na Vodacom na kuchukua staff wa Vodacom upande wa operations, na inafanya sehemu kubwa ya kazi za voda.

What about Airtel, nao hawawatumii NSN? To my understanding Ni Tigo tu walio na different arrangement
 
What about Airtel, nao hawawatumii NSN? To my understanding Ni Tigo tu walio na different arrangement

Inasemekana wanacheki upepo voda halafu watahamia Airtel. Serikali isipokuwa makini itajaza vijana wake mitaani kwa kuwapa hawa wahindi/makaburu nafasi hata za kawaida kama Human resource, Engineers wa kawaida kama nilivyosoma juu apo jambo ambalo hata wazawa wangeweza kufanya. La msingi ni hao waliokuwepo NSN wasimame kidete kutaja maovu ya. Kwao serikali haiwezi kujua kiundani nani anastahili ajira halali na mgeni nani hastahili.!! Waajiriwa wa NSN wekeni data zaidi hapa wadau wawasaidie kupaza sauti zenu acheni uoga.
 
Mkuu Kamanda Moshi nashukuru sana. Ubarikiwe kupita maelezo.

Shukrani nyingi ziende kwa Moshi aliyepaste document. Nimeisoma vizuri na kuona kuna haja ya wabongo kulinda ajira zao lasivyo watachukuliwa kila nafasi hata ya Umessanger!!!
 
Shukrani nyingi ziende kwa Moshi aliyepaste document. Nimeisoma vizuri na kuona kuna haja ya wabongo kulinda ajira zao lasivyo watachukuliwa kila nafasi hata ya Umessanger!!!

......you mean Xenophobia... inabidi kwani Migodini Kaburu ni wengi mno wanafanyakazi ya Ulinzi. Uliza mshahara na allowance zake, weeeeee utachooookaa!!
 
Ni kweli tumekuwa tukiwapa ajira watu wa nje kuliko hapaa nchini hiki kitu hakifanyiki sehemu nyingine duniani ila tanzania lakini wakati natetea wataanzaania wapewe kipaumbele kwenye ajira nao inabidi waache tamaa za kutajirika haraka haraka kwani sasa wengi wamekuwa wezi juzi juzi tumesikia walivyoiba pesa m pesa na kwenye mabenki hii inawajengea hoja wale wasiotaka kuajiri watanzania kwani takwimu za uhalifu ziko polisi
 
hii kitu ipo almost makampuni mengi ya simu, serikali pia ijaribu kuwachunguza HUAWEI...nao wale wapuuzi wanalipa wafanyakazi wa kibongo mishahara midogo kweli wakati wao wanajineemesha tu.
Serikali anagalieni wazawa la sivyo itafika kipindi baadhi ya taaluma zitakuwa na wataalam wachache wa Kitanzania
 
Imeingia mkataba na Vodacom na kuchukua staff wa Vodacom upande wa operations, na inafanya sehemu kubwa ya kazi za voda.

Bado hujaelewa kumbe, NSN siyo Vodacom. Vodacom iliwaachisha kazi hao wafanyakazi na iliwalipa, kwahiyo kwa sasa si wafanyakazi wa vodacom, why are you calling them vodacom? ungesema NSN staff working at vodacom project kwafukuta, I think ungekuwa very correct.

TCRA au wizara ya akina makamba inasemaje juu ya hili? watanzania wanapoteza ajira, na pia serikali inapoteza kodi ivi ivi mchana kweupe. Kama ni ivo serikali iwafungie license hao NSN hapa tanzania ili tukose wote
 
Serikali yenyewe hipi haswa ya kuwatetea na kulinda ajira ya waTanzania? Serikali hii ya rais kuongwa vipande vya suti!!!!.waongwa
Inasemekana wanacheki upepo voda halafu watahamia Airtel. Serikali isipokuwa makini itajaza vijana wake mitaani kwa kuwapa hawa wahindi/makaburu nafasi hata za kawaida kama Human resource, Engineers wa kawaida kama nilivyosoma juu apo jambo ambalo hata wazawa wangeweza kufanya. La msingi ni hao waliokuwepo NSN wasimame kidete kutaja maovu ya. Kwao serikali haiwezi kujua kiundani nani anastahili ajira halali na mgeni nani hastahili.!! Waajiriwa wa NSN wekeni data zaidi hapa wadau wawasaidie kupaza sauti zenu acheni uoga.
 
......you mean Xenophobia... inabidi kwani Migodini Kaburu ni wengi mno wanafanyakazi ya Ulinzi. Uliza mshahara na allowance zake, weeeeee utachooookaa!!
Only in Tanzania ndio inawezekana! Huwezi kuacha sheria za ajira ziende kwa wageni kiasi hiki, hata Ulinzi mmh
 
attachment.php

attachment.php
 

Attachments

  • VODACOM COMPLAINTS ON FOREIGN EXPATRIATES_001.png
    VODACOM COMPLAINTS ON FOREIGN EXPATRIATES_001.png
    33 KB · Views: 2,400
  • VODACOM COMPLAINTS ON FOREIGN EXPATRIATES_002.png
    VODACOM COMPLAINTS ON FOREIGN EXPATRIATES_002.png
    47.1 KB · Views: 2,555
Back
Top Bottom