VodaCom tusaidieni kwa hili.

Slave

JF-Expert Member
Dec 6, 2010
5,315
2,634
Hellow VodaCom team kunatatizo kwetu sisi watumiaji subscriber identity module or subscriber identification module ( SIM ) pale zinapopotea,kuibiwa ama kuharibika,inapotokea hivyo basi huwa tunapata hasara kubwa sana ya kupoteza contact za watu wetu muhimu WAZO LANGU kwa kuwa SIM CARD zetu zinakuwa na umuhimu pale tunapokuwa tuna wasiliana kuptia namba zilizomo ndani ya sim card basi ningependa muwaambie wataalamu wenu wa program waweke namna ambayo mtu sim yake ikipatwa na tatizo basi anapo kuja kufanya swap kila kitu muhimu kirudi kama kilivyokuwa 1.namba yake na watu wake 2.salio 3.msg na kila kitu.
 
Hellow VodaCom team kunatatizo kwetu sisi watumiaji subscriber identity module or subscriber identification module ( SIM ) pale zinapopotea,kuibiwa ama kuharibika,inapotokea hivyo basi huwa tunapata hasara kubwa sana ya kupoteza contact za watu wetu muhimu WAZO LANGU kwa kuwa SIM CARD zetu zinakuwa na umuhimu pale tunapokuwa tuna wasiliana kuptia namba zilizomo ndani ya sim card basi ningependa muwaambie wataalamu wenu wa program waweke namna ambayo mtu sim yake ikipatwa na tatizo basi anapo kuja kufanya swap kila kitu muhimu kirudi kama kilivyokuwa 1.namba yake na watu wake 2.salio 3.msg na kila kitu.

kaka salio huwa linakuwepo... Then kuhusu kontact ukipata netqin antivirus unaweza kufanya contacts back up unapata contacts zako zote kila ukibadili simu... Kwenye cmu za kawaida unaweza kucreate back up ya kawaida kwenye memory card yako.... Na ukitaka usumbufu usiwepo save data on phon not on sim card
 
kaka salio huwa linakuwepo... Then kuhusu kontact ukipata netqin antivirus unaweza kufanya contacts back up unapata contacts zako zote kila ukibadili simu... Kwenye cmu za kawaida unaweza kucreate back up ya kawaida kwenye memory card yako.... Na ukitaka usumbufu usiwepo save data on phon not on sim card
Yap...ila inasimu zake za kichina ney..ni...Nokia Samsung,BlackBerry...Android phones
 
kaka salio huwa linakuwepo... Then kuhusu kontact ukipata netqin antivirus unaweza kufanya contacts back up unapata contacts zako zote kila ukibadili simu... Kwenye cmu za kawaida unaweza kucreate back up ya kawaida kwenye memory card yako.... Na ukitaka usumbufu usiwepo save data on phon not on sim card
mie binafsi naweza ku hifadhi contact kwa namna yoyote hata kwa kuziweka katika cd lakini vp kwa wale wanaotumia nokia 1100? Vipi phone ikiibiwa pamoja na sim card? Je kama wanaweza kuhifadhi majina ya wateja wao kwanini wasihifadhi na namba za jamaa za wateja wao? Mie naamini namba za watu wote wanazo ndio maana unapofanya sim swap lazima wakuombe namba za watu watano ukikosea kutaja hata namba moja wanakuambia hiyo namba sio. Sasa kama namba wanazo si wangekuwa wanawasaidia wateja wao kuwafanyia backup
?
 
kaka salio huwa linakuwepo... Then kuhusu kontact ukipata netqin antivirus unaweza kufanya contacts back up unapata contacts zako zote kila ukibadili simu... Kwenye cmu za kawaida unaweza kucreate back up ya kawaida kwenye memory card yako.... Na ukitaka usumbufu usiwepo save data on phon not on sim card
Hata kwenye OVI inawezekana ....ni wewe...kuwa na simu yenye uwezo wa networkmean internet
 
mie binafsi naweza ku hifadhi contact kwa namna yoyote hata kwa kuziweka katika cd lakini vp kwa wale wanaotumia nokia 1100? Vipi phone ikiibiwa pamoja na sim card? Je kama wanaweza kuhifadhi majina ya wateja wao kwanini wasihifadhi na namba za jamaa za wateja wao? Mie naamini namba za watu wote wanazo ndio maana unapofanya sim swap lazima wakuombe namba za watu watano ukikosea kutaja hata namba moja wanakuambia hiyo namba sio. Sasa kama namba wanazo si wangekuwa wanawasaidia wateja wao kuwafanyia backup
?

kuwa namba za wa2 wote co shida ila huwa wanauliza namba unazopiga frequently maana kausha uliza data plan wanaweza wakakupa jnc ulivyo2mia masaa 24 yaliyopita na namba ulizopg ila khs kustore namba za kila mTZ ili sim ukiswap upate baq ua contactz ni baadae saana.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom