Slave
JF-Expert Member
- Dec 6, 2010
- 5,315
- 2,634
Hellow VodaCom team kunatatizo kwetu sisi watumiaji subscriber identity module or subscriber identification module ( SIM ) pale zinapopotea,kuibiwa ama kuharibika,inapotokea hivyo basi huwa tunapata hasara kubwa sana ya kupoteza contact za watu wetu muhimu WAZO LANGU kwa kuwa SIM CARD zetu zinakuwa na umuhimu pale tunapokuwa tuna wasiliana kuptia namba zilizomo ndani ya sim card basi ningependa muwaambie wataalamu wenu wa program waweke namna ambayo mtu sim yake ikipatwa na tatizo basi anapo kuja kufanya swap kila kitu muhimu kirudi kama kilivyokuwa 1.namba yake na watu wake 2.salio 3.msg na kila kitu.