newtonfox
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 217
- 93
Halloo... najua... hapa kila mtu anaijua mitandao... hii na almost watu wengi... hau ukanda fulani unakuta... wanapendelea+ kutumia network fulani ... vip wana jamii kama unajua promo zote za hawa jamaa + matumizi vipi unaona wapi...ni wakali na wanafaa.... kwenye market japo... wote wako kwenye compition fulani hivi kama voda na airtell( MPESAvs Airtellmoney) hama voda vs tigo( internet,sms, [cheka]+ tigoextreme (megabox)) ipi ofa ya mtandao fulani unaikubali zaidi ...na yupi anafaa hama mkali wa promoo... sema neno...tupambanishe ukweli