Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

Mkuu PM yangu umeiona? Naletewa the same response.
357981cfb06fb52506e1378aa866b87f.jpg
Nenda PM tafazali.
 
Ndugu mteja,

Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?

Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.

Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:

- Ni tatizo gani? (M-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)
- Maeneo gani? (Tukifahamu location, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate physical assitance toka kwa vendor wetu aliye karibu nawe)
- Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?
- Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza
- Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.

Karibu

Vodacom Tanzania


Nimewasilisha kwenu matatizo lukuki hakuna hata moja mmeweza kulishughulikia, anyway ni kwanini mnatutoza Tshs 7,000 ili kupata M-Pesa statement kwa mwezi?
 
Ahsanteni sana kwa huduma zenu, Kipindi bado natumia line yenu nilikuwa mtumiaji a huduma moja tu, "UNLIMITED YA SIKU", kuna uwezekano wowote wa hapa karibuni wa nyie kuirudisha tena ile huduma nzuri, Kwa mimi ile huduma pekee ilinifanya niiione Vodacom kama ndyo namba moja na ndio sababu pekee kwa nini nilikuwa natumia line yenu
 
habarini wadau. leo jumapili kwa kuwa niko nyumbani na familia nikasema ngoja ninunue bando mpya ya voda ya 1gb ambayo ni 1500/=niweze kuperuzi kwenye computer yangu. kwa kweli nilichokutana nacho ni Mungu tu anajua nimejiunga vizuri ile naanza kufungua mozilla niingie kwenye mtandao meseji inaingia ''umefikia kiwango chako cha mwisho tafadhali nunua kifurushi kipya'' sijafungua page nyingine yoyote nikasema niwapigie voda niwaeleze wanang'ang'ania kuwa nimedownload vitu sasa mi ndo mtumiaji sijadownload kitu chochote, kweli 1gb ndani ya dk 5 imeisha hata kama ningedownload youtube si kiivyo huu ni wizi.
 
Vodacom Gharama ya Kupiga simu ipo Juu kulko Mtandao Wowote Hapa Tanzania, Yni mpaka nashangaa inakuaje ukiwa na Zantel kwa week unapata dk 35 (tsh 1999) na Airtel dk 30 (tsh 1999) lakni nyie ni ndogo zaidi ya hapo ? Ina maana Kodi wanayolipa Zantel na Airtel ni tofauti na nyie ?? OR Is that Kazi Ni Kwangu Talk About ?
 
Ndugu mteja,

Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?

Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.

Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:

- Ni tatizo gani? (M-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)
- Maeneo gani? (Tukifahamu location, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate physical assitance toka kwa vendor wetu aliye karibu nawe)
- Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?
- Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza
- Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.

Karibu

Vodacom Tanzania
nakerwa sana na huduma zenu.kwanza ninapo kwenda ku swap sim card yangu.utaambiwa mpesa nirudi baada ya masaa 48.huo ni usumbufu sana kwa wateja kwanini msiwe kama wenzenu tigo tu.hapa naitaji nifunguliwe mpesa muda wa kwenda ofisini kwenu.
 
Vodacom Mnamo Tarehe 10.04.2016 Majira Ya Saa Mbili Kwa Dar es Salaam Upande Wa Simu Yangu
Mawasiliano Hayakuwepo Nilifanya Utaratibu Kuuliza Kwa Baadhi Ya Watumiaji Wa Vodacom Nao Hawakuwa Na Mawasiliano Kwa Muda Nadhani Kama Masaa Zaidi Ya Matatu Sina Hakika Kama Ni Wateja Wote Wa Dar Ama Baadhi.


Jana Nilipokea Ujumbe Toka Vodacom Ukiniomba Radhi Kwa Hilo Tukio La Katizo La Mawasiliano Ghafla
Usemao:-

Tunaomba Radhi Na Tunakuzawadia Dakika 10 Vodacom - Vodacom ,Mb 25 Na Kutuma Sms 50
Hadi Tarehe 13.04.2016 Saa 06:00 Usiku Ndiyo Mwisho
Wa Kutumia Zawadi Hii.

Jana Nilitumia Mb,Ujumbe,Dakika Za Zawadi Hii Kiasi Kidogo Nikiwa Na Maana Hazikwisha Hizo Mb,Ujumbe Na Dakika Ajabu Leo Asubuhi Nilipojaribu Kutumia
Naambiwa Huna Mb,Ujumbe Na Mb

Ikumbukwe Sikuomba Wanipe Zawadi Hiyo Na Huo Ujumbe Walitumiwa Naamini Watumiaji Wengi Wa Vodacom Baadhi Ya Watu Niliona Nao Wakipata Huo Ujumbe.


Nilipoona Huo Ujumbe Haufanyi Kazi Nilipiga Huduma Kwa Wateja Kuhoji Kwanini Mnipe Zawadi Ya Mb,Dakika,Na Ujumbe Usiofanya Kazi?
Hao Wahudumu Wenu Wako Chini Ya Kiwango Kwanza Hawakuwa Na Majibu Zaidi Ya Kusema
Subiri Nitazame Vizuri Akaja Na Jibu Tupigie Simu Baada Ya Nusu Saa.


Nilipopiga Baada Ya Nusu Saa Mtoa Huduma Akawa Hana Jibu Zaidi Ya Kujiumauma Na Kujibu Kuwa Haoni Mb,Ujumbe Na Dakika
Nikamuuliza Hivi Huo Ujumbe Wa Kuomba Radhi Mmetuma Ninyi Na Huna Jibu

Nikamwambia Sijaridhika Na Majibu Yako Zaidi Usanii
Hivi Ninyi Vodacom Kwanini Hambadiliki Na Kutatua Kero Za Wateja Wenu
Huu Mliofanya Ni Usanii
Mimi Namba Yangu 0756-457061
Tazameni Na Hao Wahudumu Wenu Kwanini Hawana Majibu Mteja Anapotaka Ufafanuzi
Thread Hii Wateja Wanatoa Kero Hamsaidii Wala Hambadiliki Na Wengi Wanasema Wanawahama.
 
Ndugu mteja,

Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?

Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.

Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:

- Ni tatizo gani? (M-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)
- Maeneo gani? (Tukifahamu location, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate physical assitance toka kwa vendor wetu aliye karibu nawe)
- Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?
- Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza
- Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.

Karibu

Vodacom Tanzania
Mbona Vodacom Special Thread Haijibu Kero Zetu ?
 
Vodacom Mnamo Tarehe 10.04.2016 Majira Ya Saa Mbili Kwa Dar es Salaam Upande Wa Simu Yangu
Mawasiliano Hayakuwepo Nilifanya Utaratibu Kuuliza Kwa Baadhi Ya Watumiaji Wa Vodacom Nao Hawakuwa Na Mawasiliano Kwa Muda Nadhani Kama Masaa Zaidi Ya Matatu Sina Hakika Kama Ni Wateja Wote Wa Dar Ama Baadhi.


Jana Nilipokea Ujumbe Toka Vodacom Ukiniomba Radhi Kwa Hilo Tukio La Katizo La Mawasiliano Ghafla
Usemao:-

Tunaomba Radhi Na Tunakuzawadia Dakika 10 Vodacom - Vodacom ,Mb 25 Na Kutuma Sms 50
Hadi Tarehe 13.04.2016 Saa 06:00 Usiku Ndiyo Mwisho
Wa Kutumia Zawadi Hii.

Jana Nilitumia Mb,Ujumbe,Dakika Za Zawadi Hii Kiasi Kidogo Nikiwa Na Maana Hazikwisha Hizo Mb,Ujumbe Na Dakika Ajabu Leo Asubuhi Nilipojaribu Kutumia
Naambiwa Huna Mb,Ujumbe Na Mb

Ikumbukwe Sikuomba Wanipe Zawadi Hiyo Na Huo Ujumbe Walitumiwa Naamini Watumiaji Wengi Wa Vodacom Baadhi Ya Watu Niliona Nao Wakipata Huo Ujumbe.


Nilipoona Huo Ujumbe Haufanyi Kazi Nilipiga Huduma Kwa Wateja Kuhoji Kwanini Mnipe Zawadi Ya Mb,Dakika,Na Ujumbe Usiofanya Kazi?
Hao Wahudumu Wenu Wako Chini Ya Kiwango Kwanza Hawakuwa Na Majibu Zaidi Ya Kusema
Subiri Nitazame Vizuri Akaja Na Jibu Tupigie Simu Baada Ya Nusu Saa.


Nilipopiga Baada Ya Nusu Saa Mtoa Huduma Akawa Hana Jibu Zaidi Ya Kujiumauma Na Kujibu Kuwa Haoni Mb,Ujumbe Na Dakika
Nikamuuliza Hivi Huo Ujumbe Wa Kuomba Radhi Mmetuma Ninyi Na Huna Jibu

Nikamwambia Sijaridhika Na Majibu Yako Zaidi Usanii
Hivi Ninyi Vodacom Kwanini Hambadiliki Na Kutatua Kero Za Wateja Wenu
Huu Mliofanya Ni Usanii
Mimi Namba Yangu 0756-457061
Tazameni Na Hao Wahudumu Wenu Kwanini Hawana Majibu Mteja Anapotaka Ufafanuzi
Thread Hii Wateja Wanatoa Kero Hamsaidii Wala Hambadiliki Na Wengi Wanasema Wanawahama.

Habari Kennedy, tumewasilisha suala lako kwa uchunguzi zaidi ili kuweka kuangalia matumizi na kufahamu endapo kufikia hiyo asubuhi ulikuwa na kifurushi cha intaneti au kilikuwa kimekwisha.
 
Habari Kennedy, tumewasilisha suala lako kwa uchunguzi zaidi ili kuweka kuangalia matumizi na kufahamu endapo kufikia hiyo asubuhi ulikuwa na kifurushi cha intaneti au kilikuwa kimekwisha.
Tumefuatilia suala lako Kennedy, kifurushi kiliwekwa na ukaanza kukitumia tarehe 12.04.2016 saa 12 na dakika 24 jioni kufikia kesho yake kikawa kimeisha.
 
Kunani jamani mtu unatumia tecno ndogo ya batani afu eti unaambiwa unakatwa salio kwenywe Internet, mbona tigo hawakati
 
Nimepata matatizo wakati natumia huduma yenu ya MPESA kutuma Pesa kwenye Account yangu Bank ya NMB kwakuwa natumia Account ya NMB -Mobile siku ya Alhamisi ya Wiki iliyopita (tarehe 14/04/2016) .Pesa haikutumwa kwenye Account yangu NMB mpaka sasa .Nimejaribu kureport tatizo hilo kwa Vodashop Samora Avenue mara mbili (Jumatatu (18/04/2016 na Ijumaa (22/04/2016)) ,Customer Care mara moja na NMB bado tatizo langu halijapatiwa ufumbuzi naendelea kuzungushwa na kupewa ahadi za uongo huku nikitumiwa Massage zisizo za kweli,naomba msaada wenu ili fedha yangu iweze kurudi kwenye Account yangu ya MPESA au Bank.Nimekuwa mteja mzuri wa MPESA kwa miaka mingi na kama hamtashaughulikia swala hili sitakuwa na imani na Huduma yenu tena na nitaachana nanyi.Nina imani kwamba mtashughulikia swala hilo mapema iwezekanavyo Kampuni yenu ni kubwa sana msikubali aibu hii.Kutokana na sababu za Kiusalama naomba tuwasiliane kwa email yangu ni asajiler@yahoo.com

Mteja wenu
 
Mtandao mbovu sana. Nmenunua kifurushi kupitia m.pesa. nilikatwa pesa na kifurshi sikuwah pata kabisa...nikipiga simu c.care naAmbiwaga nisubr 24 hrs kila siku. Aiiiibu
 
Back
Top Bottom