Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 31,823
- 33,207
Amia airtel
Naungana nawe Mkuu 100%, imagine kwa mwendo huo ni wangapi wanaibiwa, mtu akiambiwa gharama ya statement anakata tamaa anaondoka, kwa maana hiyo hawezi kujua kinachoendelea kwenye account yake