TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,704
- 11,035
Wakuu;
Nasikitika kusema kwamba Vodacom, kwa kutumia Huawei mobile partners ambazo wanauza kwa bei ya juu sana wamefikia hatua ya kutuibia kwa kushindwa kuzuia virus aitwae Z-CONNECT wamefanikiwa kutuibia kwa virus huyo anadisconnect mtandao in every 1 minute hivyo kutuharibia downloead
tumeenda kwa wale jamaa wa customer service lakini wapi, tumeinstall new antivirus software bila mafanikio
Kwa sisi wenye hivyop vijamaa zaidi ya vitano ofisini tunaingia hasara tu, Sadly, wao wanakata tu pesa yao wakati wakijua kirusi huyo katoka kwao na si kwetu
PLEASE ... VODACOM, ITS INHUMAN TO STEAL FROM US
Nasikitika kusema kwamba Vodacom, kwa kutumia Huawei mobile partners ambazo wanauza kwa bei ya juu sana wamefikia hatua ya kutuibia kwa kushindwa kuzuia virus aitwae Z-CONNECT wamefanikiwa kutuibia kwa virus huyo anadisconnect mtandao in every 1 minute hivyo kutuharibia downloead
tumeenda kwa wale jamaa wa customer service lakini wapi, tumeinstall new antivirus software bila mafanikio
Kwa sisi wenye hivyop vijamaa zaidi ya vitano ofisini tunaingia hasara tu, Sadly, wao wanakata tu pesa yao wakati wakijua kirusi huyo katoka kwao na si kwetu
PLEASE ... VODACOM, ITS INHUMAN TO STEAL FROM US