marejesho
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 6,635
- 3,655
Nimeshtuka usingizini,baada ya simu yangu kutoa mlio kuashiria kwamba nimetumiwa message(sms).
Kufungua sms,imetoka vodacom kwenye number 15500 inasema ''Fabrice Muamba wa Bolton Wanderer,bado yupo mahututi baada ya kuzimia katika robo fainali la kombe la Uingereza dhidi ya Tottenham"
kulikuwa na umuhimu gani voda kuituma muda huo? Pili,tangu saa 7 hiyo mpaka muda huu saa 9, sms hiyo imekuwa ikijirudia!!Imenibidi kutoa mlio maana ni kero!!Tatu, wananijazia inbox bila sababu!
Pendekezo!
Kwa vile mnajua mie siko nje ya TZ, na nyie mko humu humu TZ, hakuna mambo ya time difference,please rethink jinsi , muda wa kusambaza hizo sms zenu!!
Kufungua sms,imetoka vodacom kwenye number 15500 inasema ''Fabrice Muamba wa Bolton Wanderer,bado yupo mahututi baada ya kuzimia katika robo fainali la kombe la Uingereza dhidi ya Tottenham"
kulikuwa na umuhimu gani voda kuituma muda huo? Pili,tangu saa 7 hiyo mpaka muda huu saa 9, sms hiyo imekuwa ikijirudia!!Imenibidi kutoa mlio maana ni kero!!Tatu, wananijazia inbox bila sababu!
Pendekezo!
Kwa vile mnajua mie siko nje ya TZ, na nyie mko humu humu TZ, hakuna mambo ya time difference,please rethink jinsi , muda wa kusambaza hizo sms zenu!!