OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 428
Ndugu zangu kuna hii promosheni ya habari ndio hio ya kuongea tsh1 kwa sekende wao (voda) wanasema tutatumia Tsh1 kwa Sekunde kwa siku nzima. jana nikaweka line yangu ya voda na kuweka vocher ya 10,000 nikaongea kwa muda mfupi voda kwenda voda ikaisha, nikawapigia customer care wakasema promotion hiyo inakatika saa 11 hadi saa tatu usiku, lakini katika matangazo yao wana mislead watu kwa kusema ni kwa siku nzima. ndugu zangu huu uhuni wa kudanganya watumiaji voda wataacha lini