Kweli we kilaza maana hii haihitaji hata kukusanya data ili kuifanyia research,si ununue tu vocha ya m-pesa uone habari yake,wenzio sisitunakula 30%kila tunaponunua vocha,we kaa tu na litigo lako.
ni kweli ukinunua muda wa maongezi kwa kutumia M-PESA unapata bonus ya 25%, hiyo 25% bonus inawekwa sehemu tofauti na salio lako la muda wa maongezi wa kawaida
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.