Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 11,725
- 14,603
Sawa nimeiona wakiianzisha hiyo tutashukuru ni huduma nzuri itatusaidia mambo ya kuenda kupanga foleni kwenye ma ATM na mabenk yatakua hamna mambo yote yatakua electronical.
Mkuu mfumo wa mobile banking nijuavyo si mpya ni siku nyingi tu nmb wanatoa huduma hii nadhani pia benki nyingi kama si zote zipo on the way