Dr Klinton
Senior Member
- Jan 21, 2012
- 123
- 152
jamani wateja wenzangu wa Vodacom kwa Sasa kila mtu ana laki nane kwenye simu yake ambazo huwezi kuzitoa je huu si utapeli????
Ingiza namba *150*55#
Password weka namba yeyote
Halafu angalia salio
lakini hazihamishiki wala kuchukulika
Na wameweka hizi pesa bila Hata ya consent zetu
Hii si Sawa sijui Nini wadau mnalichukuliaje?
Ingiza namba *150*55#
Password weka namba yeyote
Halafu angalia salio
lakini hazihamishiki wala kuchukulika
Na wameweka hizi pesa bila Hata ya consent zetu
Hii si Sawa sijui Nini wadau mnalichukuliaje?