VodaCom kupitia EL, NA ROSTAM WAMEGHARIMU UWAZIRI WA PROF. MSOLA

Ni kweli kuwa Prof. Msolla na Vodacom walitofautiana mwaka jana lakini sio kuhusu interconnection tariffs. Issue ilikuwa ule muswada wa sheria ya mawasiliano ambayo iliifanya compulsory kwa makampuni ya simu kulist kwenye dar es salaam stock exchange. RA alipinga sana mpaka issue ikafika kwa Mkulu, akajaribu kuzuia mkulu kusign ule muswada kuwa kusheria. Hapo ndipo kutoelewana kati ya msolla na vodacom/RA kulikotokea. Maana Prof. alisimamia msimamo wake, na finally muswada ukawa sheria kamili. Mtakumbuka hii issue ilimuinvolve mtu mwingine wa karibu wa RA by the name PM ambaye alikuwa mwenyekiti wa council ya DSE ambaye akaandika barua kwa JK bila kuwasiliana na council yake akitoa msimamo wa DSE kuwa kulazimisha listing ya telecom companies kutakimbiza investors wa sector hiyo. I think ilibidi ajiuzulu uwenyekiti baadae. Nafikiri issue ni hiyo. Sasa kama ndio iliyomgharimu prof. msolla uwaziri, siwezi kujua.

Yeees! hii inashawishi.
Hii ni nchi ya nonissue takes you to the top. Ni kama nilivyoandika hapo juu. Kwani si tuna watu wamepewa vyeo kwa urafiki na RA? kwa nini wasiwepo wanaoangushwa kwa kukosana na RA?

Hao wengine tafuteni sababu lakini mwandishi katutonya huyu mmoja. Kumbukeni jinsi alivyoingia bungeni kwa kishindo cha lazima. Jimbo pekee lililolazimishwa kurudia uchaguzi na akatafutwa rafiki wa mtandao, Zakia, akasimamie uchaguzi huo bila kujali uongozi wa Wilaya. Leo mbona anaondolewa haraka hivyo na kuwaacha poor perfomers wengine wakipeta? Hebu mulinganisheni na Jumanne Maghembe aliyebakizwa.
 
Usishangae ni kawaida ya mtu anayetafuta watu wa kumsaidia kuongoza nchi. Dunia hii kuna minyang'au ambayo ukijilegeza tu, unalawitiwa.

Wanazuoni, tuachane na yote, kama yana ukweli au la! Lakni ni ukweli usiopingika kuwa hizi kampuni za simu kwa kweli, zimetunyonya watanzania kwa kiasi kikubwa, tena wametumia sana huu ushamba wetu wa teknolojia ya mawasiliano. Mfano mdogo tu, kwa wale wanaokumbuka wakati Mobil Tel, inaanza, hawa watu walitengenieza pesa isiyo ya kawaida, mpaka mkurugenzi wake mmoja wa kwanza kabisa akanunua nyumba na eneo la Beach kule Slip way. Hii inaonyesha ni jinsi gani alivyotuvuna watanzania. Hata yalipokuja haya makampuni mengine, walifuata mtindo huo huo. Ukitaka kujua ukweli, hembu angalia jinsi bei zinavyoshuka kwa sasa, lakini bado wanapata faida kubwa. Ukiangalia kwa muda huo wote, kwa kweli wametuvuna kweli watanzania. Hilo ni moka ukija la pili, kwa jinsi watanzania tulivyo changanyikiwa, kwanini ktu mmoja unamkuta ana line nne za simu? yaani Tigo, Voda, Airtel na Zantel, na utakuta zote zinatumika, hii yote wanasema eti ni kupunguza gharama. Sasa ukweli uko wapi hao jamani? Mimi namuunga mkona Mustapha Sabodo, nakumbuka kama miaka miwili hivi iliyopita alitoa tamko lenye nguvu sana ktk vyombo vya habari, akiitaka TRA iwaongezee Kodi haya makapuni ya simu, kwamba wanapata pesa nyingi sana lakini kodi ya n ndogo sana.

MY TAKE: Nina uhakika watashusha zaidi ya hapo, kwani kwa kweli wanatunyonya sana watanzania, nadhani kama TCRA wangekuwa makini, haya yote yasingetokea. Tusubili kwa watu wa Internet, nao nadhani wanatunyonya sana. cha kushangaza Mkonga umeshafika lakin bado kuna watu wamehodhi kama mali yao. Natoa hoja.
 
Ni kweli kuwa Prof. Msolla na Vodacom walitofautiana mwaka jana lakini sio kuhusu interconnection tariffs. Issue ilikuwa ule muswada wa sheria ya mawasiliano ambayo iliifanya compulsory kwa makampuni ya simu kulist kwenye dar es salaam stock exchange. RA alipinga sana mpaka issue ikafika kwa Mkulu, akajaribu kuzuia mkulu kusign ule muswada kuwa kusheria. Hapo ndipo kutoelewana kati ya msolla na vodacom/RA kulikotokea. Maana Prof. alisimamia msimamo wake, na finally muswada ukawa sheria kamili. Mtakumbuka hii issue ilimuinvolve mtu mwingine wa karibu wa RA by the name PM ambaye alikuwa mwenyekiti wa council ya DSE ambaye akaandika barua kwa JK bila kuwasiliana na council yake akitoa msimamo wa DSE kuwa kulazimisha listing ya telecom companies kutakimbiza investors wa sector hiyo. I think ilibidi ajiuzulu uwenyekiti baadae. Nafikiri issue ni hiyo. Sasa kama ndio iliyomgharimu prof. msolla uwaziri, siwezi kujua.

This make sense
 
Fair competition sometimes kwa Tz inaingiliwa na siasa so huwezi to compete fairly!
Ila ipo siku watu watapigwa fine bse kama UK wana izo hisa apo manake wako liable under EU competition law ambayo ukiflook wanakupiga fine ya total turnover ya kampuni duniani almost 10%
 
Hakuna haja ya kutishana juu ya hilo la fair competition. Hii haina mafanikio kwa nchi kama hizi ambazo unakuta vijikampuni vinne au vitatu ambavyo vimejaa hisa za wana siasa, kila siku wanatoa siri za serikali na wakati mwingine makampuni yenyewe kufanya collusion ya kupanga rates? Makampuni yana immunity ya kisiasa bila faida kwa consumers! Hao waliopewa kusimamia fair competition unawaona kila kona wakiteta na makampuni ili wapate shares za pembeni au hata vijifaida vya kusomeshewa watoto.

Tuangalie makampuni ya mafuta pamoja na rumours ambazo zimeandikwa ktk magazeti jinsi wanavyokula njama na hata kupitisha michango ya kumuweka sawa waziri acheleweshe uagizaji mafuta wa pamoja.

Jiulize huyo ajiitaye EURA amesaidia nini zaidi ya kutangaza viwango vya juu za bei ya mafuta.

Ukweli ni kwamba badala ya kusubiri serikali iweke viwango, ufahamu wetu ni lazima utumike sisi kama consumers, tukatae viwango vya kinyonyaji.
 
Hakuna haja ya kutishana juu ya hilo la fair competition. Hii haina mafanikio kwa nchi kama hizi ambazo unakuta vijikampuni vinne au vitatu ambavyo vimejaa hisa za wana siasa, kila siku wanatoa siri za serikali na wakati mwingine makampuni yenyewe kufanya collusion ya kupanga rates? Makampuni yana immunity ya kisiasa bila faida kwa consumers! Hao waliopewa kusimamia fair competition unawaona kila kona wakiteta na makampuni ili wapate shares za pembeni au hata vijifaida vya kusomeshewa watoto.

Tuangalie makampuni ya mafuta pamoja na rumours ambazo zimeandikwa ktk magazeti jinsi wanavyokula njama na hata kupitisha michango ya kumuweka sawa waziri acheleweshe uagizaji mafuta wa pamoja.

Jiulize huyo ajiitaye EURA amesaidia nini zaidi ya kutangaza viwango vya juu za bei ya mafuta.

Ukweli ni kwamba badala ya kusubiri serikali iweke viwango, ufahamu wetu ni lazima utumike sisi kama consumers, tukatae viwango vya kinyonyaji.

...Sadly, hatuna UMOJA huo. Tutakubaliana Vizuri lakini Utashangaa kesho miongoni mwetu ndio watajipeleka wenyewe kubamizwa. Poor We.
 
Nachojua mimi kuhusiana na Tigo kushusha bei ni kwamba hawa jamaa wanatumia kwa kiasi kikubwa network yao wenyewe kwa zaidi ya 75% wakati Voda anategemea kununua network kwa zaidi ya 60% kupitia makampuni mbalimbali! Hilo ndo linalowapa advantage Tigo ila hizo siasa nyingine sina hakika nazo saana!
 
Hakuna haja ya kutishana juu ya hilo la fair competition. Hii haina mafanikio kwa nchi kama hizi ambazo unakuta vijikampuni vinne au vitatu ambavyo vimejaa hisa za wana siasa, kila siku wanatoa siri za serikali na wakati mwingine makampuni yenyewe kufanya collusion ya kupanga rates? Makampuni yana immunity ya kisiasa bila faida kwa consumers! Hao waliopewa kusimamia fair competition unawaona kila kona wakiteta na makampuni ili wapate shares za pembeni au hata vijifaida vya kusomeshewa watoto.

Tuangalie makampuni ya mafuta pamoja na rumours ambazo zimeandikwa ktk magazeti jinsi wanavyokula njama na hata kupitisha michango ya kumuweka sawa waziri acheleweshe uagizaji mafuta wa pamoja.

Jiulize huyo ajiitaye EURA amesaidia nini zaidi ya kutangaza viwango vya juu za bei ya mafuta.

Ukweli ni kwamba badala ya kusubiri serikali iweke viwango, ufahamu wetu ni lazima utumike sisi kama consumers, tukatae viwango vya kinyonyaji.
Kuntu. yaani swafi kabisa kuhusu makampuni ya mafuta. ila napingana nawe kuwa tuache kuwajadili hawa communicators eti haina tija kwa taifa. Unajua natumia shs ngapi kuwa online siku nzima wewe??
kama unazo sidhani wote wanazo. usiwe hamnazo
 
nikweli bw.lowasa na rostm wana ubia na voda .angalia makampuni yote yenye utata lazima utawakuta wote wapo.kumbuka city water walipo kataa kutoa hisa kwa lowasa mara moja akawafuta.hivyo lowassa kahusika ktk kumbomoa msola.lakini umma wa watanzania utamhukumu lowasa na kambi yake,atausikia URAIS kwa radio tanzania au luninga.
 
mmmh samahani mwikimbi, naomba nitofautiane na wewe kidogo, soko la simu haliendi namna hiyo, hakuna mtu anasema bei lazima iwe shilingi moja voda kwenda voda, ushindani katika soko ndiyo sababu pekee, sio prof plz!

hiyo ni tariff ya network to network na sio connection tariff hujamuelewa alieleta mada labda
 
Mmhhh... people are good in making stories, imagination....hii story haiingii akilini.
 
nilitaka kulalamika lakini nilipoona hizi picha za maiti hawa sina haki ya kuwaamulia waZanzibari kwenye maamuzi yao

IMG_7054.JPG



IMG_6995.JPG


IMG_6926.JPG


IMG_6975.JPG

IMG_9142.jpg



DSC_0522.JPG
 
Nimekuwaa hapa iringa, habari hizi zinazumgumzwa wazi wazi, kuwa prof. msolla wakati akiwa waziri wa sciense na technologia, ndiye aliyeamuru kupunguzwa kwa bei za simu kupitia inter connection tariffs na kadhalika. kampuni ya vodacom inayomilikiwa na rostam aziz na lowasa ilikuwa tayari inapinga sana hili. mtakumbuka kuwa mabilioni ya voda yametumbukizwa kwenye kampeni za jk kwa ridhaa ya wamiliki wa voda.kushuka kwa bei za simu kumeathiri sana kampuni hii, hivyo wamiliki wakaapa kwa ufisadi wao kuwa profesa msollla basi! safari ya msolla ndo inakaribia ukingoni kisiasa kwa kuwa amegusa mahali alipogusa mwenzake samweli sita, lembeli na seleli yetu macho

hadithi za sungura na fisi huyu professor msolla ata kumskia stak ni kilaza sana aliwatesa sana wanafunz kwa kuwanyma mikopo na maghembe hawafai achen siasa majitaka amechoka akafundshe
 
aja;nikweli bw.lowasa na rostm wana ubia na voda .angalia makampuni yote yenye utata lazima utawakuta wote wapo.kumbuka city water walipo kataa kutoa hisa kwa lowasa mara moja akawafuta.hivyo lowassa kahusika ktk kumbomoa msola.lakini umma wa watanzania utamhukumu lowasa na kambi yake,atausikia urais kwa radio tanzania au luninga.​
huna cha kuandka kakojoe ulale kama jina lako lilivyo
 
Back
Top Bottom