Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,877
- 2,758
aisee kama ulikuwepo!yaani wamejiri bogus kwenye hizi vodashops.
ndio matatizo ya outsourcing haya. Kukwepa gharama na kutumbukia kwenye lawama
aisee kama ulikuwepo!yaani wamejiri bogus kwenye hizi vodashops.
Sasa mbona hanipi solution kila mtu anaiponda voda tu? Hivi kweli kampuni kubwa kiasi hiki wanakurupuka kutoa huduma namna hii? mala wablock facebook,mala.......yaani ni full vibweka sijui huyo technician wao anajifunza siwaelewi inshort