Wizzo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 723
- 255
jamani uongozi wa vodacom Arusha mbona mnatutesa wateja wenu,leo ni siku ya tatu network yenu imekua ya kusuasua sana na hamja tupa taarifa yeyote kama kuna matengenezo.naipenda voda but kwa mpango huu ntahamia kwa wenzenu.
embu tembeleeni zaidi maeneo ya mererani na mbuguni
embu tembeleeni zaidi maeneo ya mererani na mbuguni