Voda watoa 4G LTE

Mr Kicheko

JF-Expert Member
Oct 31, 2010
789
213
VODA WAMEANZA KUGAWA LINE ZA 4G LTE

2016-05-04 17.40.01.jpg


Wanabodi Jana nilienda kuswap line yangu ya voda, baada ya kupewa line mpya nikaitia mfukoni maana nilikuwa na majukumu mengi.

Nilipo pata mda ndiyo nikaiweka kwenye handset ila nilichogundua hii line ni tofauti na nyingine maana yenyewe ina rangi ya pink kama Halotel alafu imeandikwa 4G Lte.

Je hawa jamaa wamelaunch kimya kimya au.....!!

Maana sikupata muda kuwauliza pale service centre pia sina kifaa cha 4G
 
Iyo utakuwa umepigwa changa la macho maana voda bado hawajanZa kutoa line za 4G,campany ya mwisho kutoa 4G ni TTCL
 
duuuh voda walivo na sifa hawawezi fanya kitu kimya kimya hiyo umeliwa mkuu itakuwa ume swap uchochoroni huko hahaha
 
VODA WAMEANZA KUGAWA LINE ZA 4G LTEView attachment 344867

Wanabodi Jana nilienda kuswap line yangu ya voda, baada ya kupewa line mpya nikaitia mfukoni maana nilikuwa na majukumu mengi.
Nilipo pata mda ndiyo nikaiweka kwenye handset ila nilichogundua hii line ni tofauti na nyingine maana yenyewe ina rangi ya pink kama Halotel alafu imeandikwa 4G Lte.
Je hawa jamaa wamelaunch kimya kimya au.....!!
Maana sikupata muda kuwauliza pale service centre pia sina kifaa cha 4G
kwa band zipi??
 
Mie nilienda pale samora NHC Vodashop kuuliza, wakaniambia mpaka nipate msg kwenye cmu yangu ikinikaribisha kujiunga na 4G ndo niende na msg hiyo wanibadilishie..
 
Kwa uhakika Dar es Salaam wameanza kutoa 4G LTE chukua line yako ukamue. Wa mikoani muendelee kusubiri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom