Nunua ya mwezi ni nzuri speed inapungua siku ya 28 na kuendelea ipo poa sana mkuu
unaweza ukatumia mwez ispungue speed hio inategemea na lini umemaliza 2gb zako mfano umemaliza siku ya 3 ujue hapo hapo yapungua mfano mi nkinunua ni masaa tu speed inakata na wanapopunguza speed inakua inarange 25-50 kBps
kwahiyo bora 3 days unlimited ya zantel sh.10,000.00
unaweza ukatumia mwez ispungue speed hio inategemea na lini umemaliza 2gb zako mfano umemaliza siku ya 3 ujue hapo hapo yapungua mfano mi nkinunua ni masaa tu speed inakata na wanapopunguza speed inakua inarange 25-50 kBps