katika siku za karibuni takriban siku ya nne sasa mtandao wa voda umekuwa ni KERO KUPITA KIASI, network inasumbua na huduma nying hazipatikani kabisa na HAKUNA TAARIFA yeyote ile waliotoa kwa wateja wake. Naomba kuwauliza hawa Voda HUU NDO MTANDAO WENYE HUDUMA MNAZOJISIFIA KILA SIKU? acheni ubabaishaji na kama kuna tatizo ni BORA MKATOA TAARIFA MAPEMA KWA WATEJA WENU.