Voda internet bomba30 ni nomaaaaaaaaaaa

yeah it all depends on where u r bt also the network matters,i hav tried tigo(worst),then sasatel(better),ttcl banjuka(fair) and airtel(best) en am around ukonga area.
 
ttcl broadband ndio wenyewe. Speed hakuna mfano. Hizo 4 gb nadhani inashusha na kwa saa moja! ninashangaa sana watu wanaosifu mtandao unaoshusha 4 gb kwa masaa 7-8
 
ttcl broadband ndio wenyewe. Speed hakuna mfano. Hizo 4 gb nadhani inashusha na kwa saa moja! ninashangaa sana watu wanaosifu mtandao unaoshusha 4 gb kwa masaa 7-8

mzee ni kifurushi gani unachotumia kwenye ttcl?ni 1Mbps,512Kbps au 256Kbps??
 
mzee ni kifurushi gani unachotumia kwenye ttcl?ni 1Mbps,512Kbps au 256Kbps??
Sijui sana kuhusu 1Mbps,512Kbps au 256Kbps ila nina chukua kifurushi cha 4gb kwa mwezi speed ya kudownload au ku upload inatisha!
Nina hivi vimoderm vya voda na zantel nakwambia ni uchovu tupu! That's all I can testify!
 
kwa matumizi ya simu huwa nanunua 50mb kwa 2000tsh voda.sasa wakubwa huwa napunjwa au?msaada.
 
Haaa yani hizo mbwembwe siku 24 gb 103 wakati mi gb 250 wiki moja
chizicomputer kupitia voda
 
Back
Top Bottom