Voda internet bomba30 ni nomaaaaaaaaaaa

acha kudanganya watu.... Una isp zaidi ya mmoja, kama kweli umedownload kwa kupitia voda tupe snapshot ya dashboard ya voda kwenye statistics, tuone umedonload kiasi gani cha data...

Maana ukituonyesha statistics ya vuze utakuwa unatudangaya maana waweza download kwa kutumia mitandao mingine na vuze ikaendelea kuweka rekodi za files unazo shusha na kupandisha....

99gb kwa mtandao flani unatozwa tsh 1,000,000/- ndio voda wakupe 103gb kwa tsh 30,000/- kweli? Kadanganye watoto....


hata hivyo siwezi nikakubishia maana ukipiga hesabu ni kwamba unadownload 4gb per day..

hahahaaaa, uncle hapo kwenye red umefanya nicheke sana, naona unabisha kwa nguuuuuuvu, halafu unajijibu mwenyewe.
 
bomba30 ipo freshy sana kwa watu wenye matumizi makubwa ya internet, 30,000/= kwa unlimited internet ipo so reasonable..speed waliyoweka sio kubwa sana ya kujiachia lakini ipo average haizuii mtu kudownload more than 1GB per day.....:mod::mod::mod::mod:
 
Acha kudanganya watu.... Una ISP zaidi ya mmoja, kama kweli umedownload kwa kupitia voda tupe snapshot ya dashboard ya voda kwenye statistics, tuone umedonload kiasi gani cha data...

Maana ukituonyesha statistics ya Vuze utakuwa unatudangaya maana waweza download kwa kutumia mitandao mingine na vuze ikaendelea kuweka rekodi za files unazo shusha na kupandisha....

99GB kwa mtandao flani unatozwa TSH 1,000,000/- ndio voda wakupe 103gb kwa TSH 30,000/- kweli? kadanganye watoto....


Hata hivyo siwezi nikakubishia maana ukipiga hesabu ni kwamba unadownload 4gb per day..


Naomba majibu ya kwenye red tafadhali....



hahahaaaa, uncle hapo kwenye red umefanya nicheke sana, naona unabisha kwa nguuuuuuvu, halafu unajijibu mwenyewe.

Umeulizwa maswali umeshindwa kujibu unakimbilia itimisho langu, una kwepa nini? njia ya muongo ni fupi sana, kama uliona topic yangu kuhusi internet ya tigo niliweka wazi kila kitu kwa nini nyie hapa mnataka kutuuzia mbuzi kwenye gunia?....

Majibu ya kwenye red Tafadhali
 
Kaka si lazima kuamin ila kama upo sehemu za mjini kwenye hsdpa try it.

Mkuu, siyo lazima kuwa mjini, mimi niko sehemu ambayo napata full 3G, na sijawai pata speed ya 1mbps.zaidiinacheza kwenye 580kbps na kushuka shini na hapo sipo kwenye bundle yoyote nakatwa 120 kwa 1mb iweje nipunjwe speed na na mwenye bundle ya momba30 amwagiwe speed? hii inakuingia akilini kweli?
 
LARRYHOVER
Junior Member

Join Date : 9th May 2011
Location : Dar es salaam, Tanzania
Posts : 5
Thanks
0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power : 0

Mmh!:biggrin1::biggrin1::biggrin1:
 
Naomba majibu ya kwenye red tafadhali....





Umeulizwa maswali umeshindwa kujibu unakimbilia itimisho langu, una kwepa nini? njia ya muongo ni fupi sana, kama uliona topic yangu kuhusi internet ya tigo niliweka wazi kila kitu kwa nini nyie hapa mnataka kutuuzia mbuzi kwenye gunia?....

Majibu ya kwenye red Tafadhali

Hakuna alekwmbia uhamie voda mi nipo mwanza ila spidi mpaka nashangaa na pia nshawahi kutoa thread hapa inasema 'voda leo' kwa hiyo unaposema unataka uuziwe mbuzi kwenye gunia ni wewe kuamini au kuacha,...mbona we unapata spidi ya tigo ka vile upo chini ya mbara lakini wengine hatujawahi kupata hata 80KBps hata ukiwa juu ya mnara!!!ila mjue tu wengine voda tunaenjoy spidi ya kufa mtu na ni unlimited bundles
 
wanaosifia voda nadhani hawajajaribu mitandao mingine, mimi nipo eneo ambalo napata mawimbi ya hsdpa kwa mitandao yote inayoruhusu mawimbi hayo, airtel is the best, hakuna cha voda wala tigo, tena kwa bomba subscription ndio hovyo kabisa.
 
naomba majibu ya kwenye red tafadhali....

mkubwa wala situmii hizo modem za voda, so hata sija install application ya voda, kwa hiyo sina hata dashboard ya voda.

Computer yangu ina built-in modem, so ina application yake tofauti kabisa inaitwa "access connections manager"

nakuwekea screen shot uone hapa, kama bado huamini, just leave it coz mimi sio marketing manager wa voda, hapa hatubishani zaidi ya kusaidiana, ili kama kuna mtu anahitaji achangamke kabla hawajabana speed tena, maana zamani maximum speed ya bomba 30 ilikuwa 64 kbps, lakini kwa sasa mimi nadownload mpaka 298kbps.

Untitled.png
 
kaka achana nae huyoo kama hataki kuamini anajikuta anajua sana. kwanza ndo fresh asije ongeza idadi speed ikapungua...
safi mkubwa.
 
kaka achana nae huyoo kama hataki kuamini anajikuta anajua sana. kwanza ndo fresh asije ongeza idadi speed ikapungua...
safi mkubwa.

Pole sana ndugu.... lengo langu sio kutaka kujiunga na huo mtandao wenu kwani nina mtandao unaonipa speed nayoitaka.... Siyo wewe uliyejiunga JF kuja kuelezea speed ya voda....
 
Smh 4 GBs in 4 hrs.. Hebu jaribu ya ttcl..afu uniambie..kwani optic fibre wanamiliki wao hafu wanasupply kwa hao jamaa wengine.
 
GUYS ALL I KNOW THIS THINGS ZINATEGEMEA NA UR LOCATION,IF 3G Z AVAILABLE................. HENCE U BETA ASK FELAZ AROUND UR HOME FIRST UJUE KWA MITAA YENU MTANDAO GANI UNA SPIDI YA KUTISHA..............:A S-rose:
 
Back
Top Bottom