Vocha ya Airtel ya Tshs 1000/- ....... !!!

Vocha za airtel za 1000 ni nyepesi kuharibika, mi mwenyewe hapo majuzi nlikwangua ikaharibika, nikapiga huduma kwa wateja wakanambia niende kwa mawakala ndo wanisaidie. Wakati swala ni kutaja serial number mchezo unaisha. Sidhani kama hawa jamaa wanatujali wateja!

Mi nadhani "they don't have that time" kabisa..
 
Mimi nachokiona hapa ni ukosefu wa uadilifu toka Airtel. Hata mimi wamewahi kuniambia kichefuchefu cha namna hiyo, niende kwenye tawi lililo karibu. Hivi naweza kweli kupanda daladala toka kimara mpk mlimani city kuchukua 1000? Mbona jambo kama hilo hilo zamani lilikuwa linasolviwa kwa kutuma zile serial numbers, wakaangalia kama haijatumika then ukawekewa direct kwenye simu yako. Imekuwaje leo? Na kwa nini wamebadili material ya kufunika zile codes?
 
Mimi nachokiona hapa ni ukosefu wa uadilifu toka Airtel. Hata mimi wamewahi kuniambia kichefuchefu cha namna hiyo, niende kwenye tawi lililo karibu. Hivi naweza kweli kupanda daladala toka kimara mpk mlimani city kuchukua 1000? Mbona jambo kama hilo hilo zamani lilikuwa linasolviwa kwa kutuma zile serial numbers, wakaangalia kama haijatumika then ukawekewa direct kwenye simu yako. Imekuwaje leo? Na kwa nini wamebadili material ya kufunika zile codes?

Yaani haya maswali ya aina yako,ndiyo kabisa hayana majibu ya kuridhisha kutoka kwao... Maswali ya "kwanini"...
 
kumbe tuko wengi? Nami pia niliwahi kwangua hiyo vocha vibaya ikaharibika nikawapigia wakaniambia niende kwenye vituo vyao baada ya kunigomea kuingia. Nikaiweka nikisema siku nikipita mlimani city nitaenda hapo. Baada ya wk 3 hivi nikiwa na muuza vocha nikamueleza, akaichukua na kuingiza namba ktk simu yangu, ikakubali!
 
kumbe tuko wengi? Nami pia niliwahi kwangua hiyo vocha vibaya ikaharibika nikawapigia wakaniambia niende kwenye vituo vyao baada ya kunigomea kuingia. Nikaiweka nikisema siku nikipita mlimani city nitaenda hapo. Baada ya wk 3 hivi nikiwa na muuza vocha nikamueleza, akaichukua na kuingiza namba ktk simu yangu, ikakubali!

Leo nimenunua vocha ya aina hiyo.. Naona wameiwekea maandishi kabisa,"scratch gently"

yaani hizo ndiyo hatua walizoziona "immediate" kuzichukua..
 
Mkuu kuna watu wa ajabu ambao hautajua wamepata malezi ya aina gani,au wamekulia katika mazingira gani...

Hebu ingieni katika profile yake muone alivyo na tabia mbovu. Ni mtu wa matusi kiasi huwezi kufikiri ni mwanaJF wa siku nyingi.
 
ni kweli!imenitokea mara kadhaa na nyingine ninayo hapa inazagaa ktk waleti!wanaoweza kubahatisha kazi kwenu
***1 0843 8470 22
 
tips tarakimu ya kwanza inaweza kuwa 5,8,9 au 3!tarakimu ya pili huenda ni 0 au 8,ya tatu its more like 2!ukitaka serial number niambie!wish u luck whoever tries
 
Hawawezi kukuwekea credit kwa kuangalia serial number kama serial number iko wazi, unaweza ukachukua bunda la vocha dukani ukarekodi serial number zote bila kuzikwangua, ukadai wakujazie. Plus access ya serial number / secret namba wanazo watu wachache sana kwa sababu za kiusalama.

Kwangueni kwa utaratibu jamani.
 
Vocha za airtel za 1000 ni nyepesi kuharibika, mi mwenyewe hapo majuzi nlikwangua ikaharibika, nikapiga huduma kwa wateja wakanambia niende kwa mawakala ndo wanisaidie. Wakati swala ni kutaja serial number mchezo unaisha. Sidhani kama hawa jamaa wanatujali wateja!

hawa wahindi wanafanya kamari ya kulazimisha.wanajua wanachokifanya wao wanajali faida,wakati hawatazami ubora wa huduma,juzi tu walitupandishia vifurushi vya internet.baada ya kulalamika sana wameturudishia na sasa hili na wizi kutuma pesa kwa kutumia simu.wakiona umetumiwa pesa nyingi wanablock simcard alaf pesa wanachukua wao.
 
Hawawezi kukuwekea credit kwa kuangalia serial number kama serial number iko wazi, unaweza ukachukua bunda la vocha dukani ukarekodi serial number zote bila kuzikwangua, ukadai wakujazie. Plus access ya serial number / secret namba wanazo watu wachache sana kwa sababu za kiusalama.

Kwangueni kwa utaratibu jamani.

Sidhani kama ni tatizo lililopelekea kuondoa ile njia ya kutaja serial number...
Yaani mtu awe na kazi ya kushindwa kutwa nzima anasubiri huduma kwa wateja ya njia ya simu!

Kuanzia asubuhi hadi jioni atafanikisha kuingiza ngapi? Si bora auzie tu wateja wake?
kuhusu kukwangua taratibu,mi naikubali kama immediate solution..
Lakini sidhani kama wanashindwa kuboresha karatasi kama zilivyo za vocha nyinginezo,regardless za kampuni gani..
 
Jamani. Kama mlikuwa na mimi.Yamenitokea leo asubuhi. Sina cha kufanya na hizi vocha za 1000 tena.
 
Kumbe tuko wengi wakuu,na mimi imeshanitokea karibu mara nne,na ni kwa vocha za airtel na tigo,sijui ni ukosefu wa bora ktk utengenezaji au nini!mbaya zaidi mashirika yote hayo yanashindwa kutoa msaada kwa kupitia simu za custome care na kutaka uende kwy ofisi zao,what a shame!
 
Kumbe tuko wengi wakuu,na mimi imeshanitokea karibu mara nne,na ni kwa vocha za airtel na tigo,sijui ni ukosefu wa bora ktk utengenezaji au nini!mbaya zaidi mashirika yote hayo yanashindwa kutoa msaada kwa kupitia simu za custome care na kutaka uende kwy ofisi zao,what a shame!

Airtel ndiyo imezidi..
 
Back
Top Bottom