Wilbert1974 JF-Expert Member Feb 10, 2011 1,632 478 Oct 8, 2012 #2 Vinega - Mi nilijua ni MBAYUWAI, kumbe watu! Ila kichwa mada ni tata sana kwangu...
ndetichia JF-Expert Member Mar 18, 2011 27,772 6,555 Oct 8, 2012 #3 k wa mapacha pasu kwa pasu tunajitusu..
grafani11 JF-Expert Member May 24, 2011 15,442 5,807 Oct 9, 2012 #5 Bujibuji said: Click to expand... Hapo itakuwa Bodi ya mikopo imecheua. "Boom" l likiisha wanakuwaga wapole mpaka wanatia huruma.
Bujibuji said: Click to expand... Hapo itakuwa Bodi ya mikopo imecheua. "Boom" l likiisha wanakuwaga wapole mpaka wanatia huruma.
RICH OIL SHEIKH JF-Expert Member Jan 2, 2012 883 167 Oct 10, 2012 #7 Mambo ya ukiimba Hip Hop lazima uwe mgumu na ukunje sura yalishaishaga tokea enzi za WU -Tang Clan. Anyway ... mambo ya cha Arusha hayo.
Mambo ya ukiimba Hip Hop lazima uwe mgumu na ukunje sura yalishaishaga tokea enzi za WU -Tang Clan. Anyway ... mambo ya cha Arusha hayo.
Sorrow to Joy JF-Expert Member Jan 22, 2012 292 59 Oct 10, 2012 #9 Kumbe hawa ni vinega????!!!!!!!!!!!!!!