Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 14,840
- 31,583
ina madhara baadae, kwani unataka mavzi gani yasiote tena? mknd au km?
ina madhara gani mkuu nijulishe??mimi hiki kibibi change nataka kibaki lainiii kama ngozi ya mtoto hahahaaaaaaa
ina madhara baadae, kwani unataka mavzi gani yasiote tena? mknd au km?
unasemea kibibi kipi? cha nyuma au cha mbele?ina madhara gani mkuu nijulishe??mimi hiki kibibi change nataka kibaki lainiii kama ngozi ya mtoto hahahaaaaaaa
Kwel wew nyani,huon aibuuu?Fanya waxing hii huduma inapatikana maeneo ya msasani
Mekupenda ghaflaaJambo la msingi lipi au kaelezea K Ina sura mbaya hata hawezi onyesha??mwanaume wake anamuonyesha nini sasa??why should my man see an ugly p****y while he can enjoy the benefits of a clean smooth one??mtu hata kwenda hospital checkup aona shida,Kuvaa bikini shida,kumvulia mwanaume wako kwenye mwanga shida,inahusuuu??with waxing unavoona ngozi ya paja ndivyo ya K ilivo,Ofcoz sio exactly but zinakaribiana
Mindset/perception zetu ziko tofauti
hahaahaha aibu gani mkuuKwel wew nyani,huon aibuuu?
Creme ya Veet-Aloevera. Inapatikana kwenye maduka ya vipodozi
Hyo veet n maalum kwa girls only au kwa wote?
wote, mimi na familia yangu ni watumiaji wazuri tu.
waxing ni kufanyajeFanya Waxing haitoi vipele na nywele hazioti mapema na hata zikianza kuota haziwashi...
Kwa wote..hata mwanaume anaweza kutumia.Hyo veet n maalum kwa girls only au kwa wote?
Kwa wote..hata mwanaume anaweza kutumia.
Huko sasa kutafanana na SAO HILL..Nna miaka mtaitano sijanyoa
Hiyo waxing kwani ananyolewaa na mtuBibie umenena jambo la msingi sana ambalo wanawake wenzako wengi hawalijui.....mwanamke anahitaji stara na kujithamini na sio kila mtu anapaswa kuyaona maungo yake ya siri......hapo ndio pamebeba utu wa mwanamke na ndio maana ya mwanamke hasa......sasa mtu mwenye akili timamu anawezaje kwenda kuchanua mapaja mbele ya umati kwa ajili ya tu kunyoa sehemu za siri...???
Mbona hiyo kazi hata mumeo kama ukimuelekeza anaweza kuifanya tena kwa ufanisi wa hali ya juu huku mahaba yakiongezeka....
Binafsi nimetazama video mbali mbali zinazohusu hilo tukio la waxing kwa wanawake hakuna cha maana ninachokiona ziadi ya kujidhalilisha tu.....
Wazungu wameshatuona kuwa sisi ni masakara na hatuwezi kuzitumia akili zetu ipasavyo ndio maana kila ian ya ujinga wanatuletea kwa kuamini kuwa sisi lazima tutaiga tu.....
Jiheshimu.....