Amoeba
JF-Expert Member
- Aug 20, 2009
- 3,289
- 781
acha ufala. kwani ukiweka bei kitaharibika nini?
Hahaaa, Tartibu kaka. Kama hauwajui madalali uchwara watakutia hasira mno. Kuna wakina kitomai wanafanya kazi kitaalam zaidi, bei inabandikwa hadharani hata kama ni Dola Millioni ngapi anaandika na anajibu hoja zote mbovu na mbivu! Huyu jamaa labda amedalalia pakubwa mno, au basi tu hana moyo mpana, au hajawahi kukaa dukani aone wateja wanavyofanya window shopping, hahaaa! Mpoteezeeni tu ndugu yetu huyu banaa.:lock1: