Habari nilizopata mida hii kutoka kwa swahiba wangu aliye katika uongozi wa juu ni kwamba serikali imewekwa katika mtihani mkubwa kuhusiana na mgeni Prince Charles, kutokana na yanatokea Arusha. Kuna baadhi ya wakuu wanaona yule hakimu hakutumia busara kwani angemtoa jana Lema, CDM wakafanya mkutano wao jana na leo, na kesho tarehe 9 Arusha ingekuwa shwari kwa ajili ya ziara ya Prince Charles eneo hilo.
Wanaona sasa hali hii inaweza ikaharibu kabisa ratiba.
Majuto mjukuu.