inamaana police wamewatawanya watu uwanjani?
hatua ya jeshi la polisi kupiga mabomu muda huu wa saa 11 asubuhi na kuanza kuwatanya wana chadema ni kosa kubwa la ki ufundi, ambalo hawata kaa walisahau.
Maana tayari watu wote wamepanga kwenda nmc asubuhi na hata wale walio lala majumbani mwao wanajipanga leo kuacha sughuli zote na kuingia mjini kwa kasi ya ajabu kuongeza nguvu kubwa ya umma ambao wamekesha uwanjani
kwa maana hiyo basi huyo aliyewashauri kuanza kurusha mamabomu mida hii atajutia uamuzi wake maana tayari watu akili zao wameshajipanga na walitarajia chochote chaweza kutokea kutokana na tabia ya mabavu ya serikali namna ya ku handle mambo hivyo haitakuwa rahisi kwa jeshi la polisi kuwatawanya bila kuleta madhara makubwa kama mwanzo kwa sababu hata watu wengine wamekuja kutoka mikoa ya jirani kuja kuongeza nguvu kubwa iliyokesha uwanjani hapo.
Naye kaona umaarufu umepotea? naona kajipeleka mwenyewe.habari za uhakika kutoka arusha ni kiwa dr slaa amekamatwa na polisi alfajiri ya leo kwenye viwanja vya nmc....
more to come
Kuna wakati huwa najiuliza hivi na sisi tunaishi karne ya 21?
Nguvu ya umma na wabunge 23?
Jamani, hivi kweli hakuna njia mbadala ya kulishughulikia hili jambo?. Kama Lema yuko ndani kwanini tusiache sheria ifuate mkondo wake?, huo mkutano hapo NMC utasaidia vipi katika kutatua tatizo hili?. Kweli imeshindikana kukaa mezani na kulizungumza suala hili kistaarabu?.
Inawezekana kabisa kuna mambo hayaendi ipasavyo lakini pia jinsi ya kudai haki isitumike fujo, busara na hekima itumike badala yake.
wewe nazi kwelikweli gadaf ameanguswa na wabunge wangapi
Wewe si upo kimaslahi zaidi?Nguvu ya umma na wabunge 23?
wacha wewe upuuzi...watu tache kufanya kazi kwa ajili ya maendeleo yetu na vizazi vyetu vijavyo tuhangaikie maandamano na kukesha kusiko na tija.natamani nasi bongo tungekuwa na movement kama hiyo
hana jipya,,,kasjaishiwa sera.Dr Slaa,nae anashikiliwa Kituoni
Mtajipanga sana upya mwaka huuNimeongea na mtu sasa hivi toka Unga ltd anasema hali ni shwali wanajikusanya upya.
Kwa ujinga wao lazima wadhurike...wangekuwa wanajitambua wasingeenda kuandamanaSipendi kuckia kuna raia wamedhurika!
Naona kujipeleka GERezani ishakuwa staili mpya ya viongozi wa chademaMbowe na dr Slaa na Tindu Lussu wamekamatwa kituoni,ila watu wamegoma kufanya kazi leo na hakuna usafiri na watu wameanza kujikusanya tena uwanjani,Mungu tubariki CHADEMA,wao CCM wana pesa na polisi na mafisadi,sisi CHADEMA tuna MUNGU anayetulinda.
Kwa hili tatizo linaweza Kuwait kubwa kama nae akikataa dhamana
Wewe unafikra mgando sana,huyo kigogo baba yako aliyepo CCM asikupe kiburi hayo maisha mazuri uliyo nayo kwa kuiba mali za watanzania zisiwape kiburi nyie watoto wa CCM na hawo baba zetu wanadhurumu maliasili za watanzania.Naye kaona umaarufu umepotea? naona kajipeleka mwenyewe.
kweli chadema still ni wachanga kwenye siasa.
Wewe ndiye una mawazo mgando...unadhani wote waliopo JF ni watoto?Wewe unafikra mgando sana,huyo kigogo baba yako aliyepo CCM asikupe kiburi hayo maisha mazuri uliyo nayo kwa kuiba mali za watanzania zisiwape kiburi nyie watoto wa CCM na hawo baba zetu wanadhuruma maliasili za watanzania,kikubwa ambacho mmeanza kulaaniwa na MUNGU kwa dhurma mnayoifanya kwa watanzania ni kukosa uwezo wa kufikiri,akili zenu zimekuwa finyu,mnawaza kwa kutumia makamasi na makalio badala ya ubongo,akili mmefungia kabatini,MWISHO WENU UMEKARIBIA NYIE MAFISADI NA WAUME WENU KINA NAPE