Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,877
- 2,758
natamani nasi bongo tungekuwa na movement kama hiyo
Watu hawajaangalia tu kama risasi zingekuwa zinanyamazisha watu Gaddafi angeendelea kuwepo na waandamani ya Yemen na Syria wangeacha.. wanalazimisha wananchi kuvuka mstari wa aidha kuchagua maisha au kifo.. hekima ndicho kitu pekee ambacho bado tunakihitaji zaidi kuliko kitu kingine chochote.
Nadhani madai ya regime change yanaanza kupata mashiko.
Kadri unyama unavyozidi ndivyo kadri wanamapinduzi wanapokosa sababu za kurudisha majeshi nyuma...Wananchi wanapouwawa,inaongeza ari ya wenzao kupambana zaidi ili kuhakiisha kuwa damu yao haikumwagika bure.
Kama kuna wananchi wanauwawa kwa unyama wa polisi,basi kuacha damu hiyo ipite bure ni kuwa macoward.
Nadhani unyanyasaji wa kutumia dola ndiyo motivation kwa wanamapinduzi.
Historia imedhihirisha hilo.
Nimeona landrover PT 1178 Pickup na nyingine yenye namba ya kibinafsi ingali ni ya police ikiwa imepakia pikipiki aina ya Toyo na kuelekea central police. Na kila kitu kimechomwa moto na hata baadhi ya matendi yote yamepakiwa na naona hili litakuwa shazi lingine mpya kwa upande wa siasa.
Jamani, hivi kweli hakuna njia mbadala ya kulishughulikia hili jambo?. Kama Lema yuko ndani kwanini tusiache sheria ifuate mkondo wake?, huo mkutano hapo NMC utasaidia vipi katika kutatua tatizo hili?. Kweli imeshindikana kukaa mezani na kulizungumza suala hili kistaarabu?.
Inawezekana kabisa kuna mambo hayaendi ipasavyo lakini pia jinsi ya kudai haki isitumike fujo, busara na hekima itumike badala yake.
Hawataweza kuzuia umma watu ni wengi kuliko wao na watu wamechoka ngoja na hiyo nyomi inayokuja mjini utasikia raha.
Habari nilizopata mida hii kutoka kwa swahiba wangu aliye katika uongozi wa juu ni kwamba serikali imewekwa katika mtihani mkubwa kuhusiana na mgeni Prince Charles, kutokana na yanatokea Arusha. Kuna baadhi ya wakuu wanaona yule hakimu hakutumia busara kwani angemtoa jana Lema, CDM wakafanya mkutano wao jana na leo, na kesho tarehe 9 Arusha ingekuwa shwari kwa ajili ya ziara ya Prince Charles eneo hilo.
Wanaona sasa hali hii inaweza ikaharibu kabisa ratiba.
Habari nilizopata mida hii kutoka kwa swahiba wangu aliye katika uongozi wa juu ni kwamba serikali imewekwa katika mtihani mkubwa kuhusiana na mgeni Prince Charles, kutokana na yanatokea Arusha. Kuna baadhi ya wakuu wanaona yule hakimu hakutumia busara kwani angemtoa jana Lema, CDM wakafanya mkutano wao jana na leo, na kesho tarehe 9 Arusha ingekuwa shwari kwa ajili ya ziara ya Prince Charles eneo hilo.
Wanaona sasa hali hii inaweza ikaharibu kabisa ratiba.
dawa ni kuchoma moto hichi kijengo cha mahakama tu huyo akimu akalime sasa
Nguvu ya umma na wabunge 23?
Kituo gani?Dr Slaa,nae anashikiliwa Kituoni