historia inaonyesha kwamba huu ni muda wa mabadiliko dunia nzima chadema msikate tamaa tuko pamoja ccm wameishiwa hoja wanafikiri fujo ndio mpango na hii inaonyesha kuwa wameshindwa kuwatumikia wananchi wakae pembeni wapishe wanaoweza
hili suala la uraia wa nchi mbli kwa tanzania halikubariki labda kwa nchi za wenzetu ambao wanajali utawala wa sheria
hapa kwetu viongozi wetu kama kama sual hili likikubalika watachota rasilimali za taifa na kuzificha nchi nyingine HATUTAKI KUSIKIA JAMBO HILI HATA KIDOGO
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.