Habari
Mwenye kujua haya mambo ya viwanja dar, katika jiji la dar ni sehemu gani naweza pata kiwanja kizuri kama ekari 2 hivi kwa bei rahisi kwa ajili ya kujenga nyumba ya kuishi. Mitaa kama Mbezi luis, mbezi beach, kunduchi au tegeta ni poa zaidi.
Habari
Mwenye kujua haya mambo ya viwanja dar, katika jiji la dar ni sehemu gani naweza pata kiwanja kizuri kama ekari 2 hivi kwa bei rahisi kwa ajili ya kujenga nyumba ya kuishi. Mitaa kama Mbezi luis, mbezi beach kunduchi au tegeta ni poa zaidi.
Mkuu bei rahisi waweza kupata katika hiyo blue lakini hizo nyenkundu ekari 2 inabidi uwe na angalau bilioni 1.
Mkuuu nakushauri uende kibaa kwa matiasi ndio kunamashamba dar uwezi pata kiwanja eka 2
Kina wateja wengi na Bia zake ni tamu kuliko za Vibaa vingine!!Kuna sababu gani inayofanya kibaa hicho kiwa na umaarufu wa kuweza kupata dili za mashamba, je, ni sehemu inayotembelewa na madalali wa mashamba zaidi? Na vile vile kibaa chenyewe kiko maeneo yapi ya jiji?
Kuna sababu gani inayofanya kibaa hicho kiwa na umaarufu wa kuweza kupata dili za mashamba, je, ni sehemu inayotembelewa na madalali wa mashamba zaidi? Na vile vile kibaa chenyewe kiko maeneo yapi ya jiji?
viwanja vya serikali vilipata wateja wengi sana hadi wakaghairi kuuzaDah! kumbe viwanja vimepanda bei hivyo? si mchezo! Nasikia kuna viwanja 20000 vinapimwa na serikali, ila sijui ni maeneo gani, hivyo kuna mtu mwenye habari navyo? Kweli bongo maisha yamekuwa ghali! Nadhani dili ni kumvizia mtu aliyefilisika au mwenye madeni anadaiwa na mahakama unaweza pata viwanja bei rahisi kwa maeneo kama kunduchi na tegeta. Nahitaji viwanja maeneo hayo niliyoyataja hapo juu maana mimi nafanya kazi mitaa ya mbezi beach
Dah! kumbe viwanja vimepanda bei hivyo? si mchezo! Nasikia kuna viwanja 20000 vinapimwa na serikali, ila sijui ni maeneo gani, hivyo kuna mtu mwenye habari navyo? Kweli bongo maisha yamekuwa ghali! Nadhani dili ni kumvizia mtu aliyefilisika au mwenye madeni anadaiwa na mahakama unaweza pata viwanja bei rahisi kwa maeneo kama kunduchi na tegeta. Nahitaji viwanja maeneo hayo niliyoyataja hapo juu maana mimi nafanya kazi mitaa ya mbezi beach
mkuu heka 2 utapata maeneo ya tegeta mivumoni nitafute kwa 0714 107 215