Viwanja vinauzwa

Kitomai

JF-Expert Member
May 21, 2009
1,061
281
Vipo Mbezi Beach Juu. Vipo umbali wa kilomita nne kutoka Bagamoyo Road inayofanyiwa upanuzi.
Vipo viwanja saba. Viwili vina Hati Miliki (Tittle Deed), kila kimoja kina ukubwa wa sqm 1000 au 25 x40. Bei shs 28mil kwa kila kimoja. Vingine vina ukubwa wa sqm 1000 isipokua havina Hati Miliki Bei yake ni shs 20mil kwa kila kimoja.Kingine kina ukubwa wa 25 x 40 kinauzwa 16.5mil. Wahi kununua kabla barabara haijapanuliwa na bei kuongezeka. Kwa mawasiliano piga simu 0784225000 au 0717114409
 

Attachments

  • DSC08325.JPG
    DSC08325.JPG
    38.4 KB · Views: 65
  • DSC08326.JPG
    DSC08326.JPG
    36.4 KB · Views: 59
  • DSC08327.JPG
    DSC08327.JPG
    39.1 KB · Views: 58
  • DSC08328.JPG
    DSC08328.JPG
    40.1 KB · Views: 61
  • DSC08329.JPG
    DSC08329.JPG
    38.4 KB · Views: 58
  • DSC08331.JPG
    DSC08331.JPG
    38.1 KB · Views: 60

Similar Discussions

Back
Top Bottom