Kitomai
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 1,061
- 281
Vipo Mbezi Beach Juu. Vipo umbali wa kilomita nne kutoka Bagamoyo Road inayofanyiwa upanuzi.
Vipo viwanja saba. Viwili vina Hati Miliki (Tittle Deed), kila kimoja kina ukubwa wa sqm 1000 au 25 x40. Bei shs 28mil kwa kila kimoja. Vingine vina ukubwa wa sqm 1000 isipokua havina Hati Miliki Bei yake ni shs 20mil kwa kila kimoja.Kingine kina ukubwa wa 25 x 40 kinauzwa 16.5mil. Wahi kununua kabla barabara haijapanuliwa na bei kuongezeka. Kwa mawasiliano piga simu 0784225000 au 0717114409
Vipo viwanja saba. Viwili vina Hati Miliki (Tittle Deed), kila kimoja kina ukubwa wa sqm 1000 au 25 x40. Bei shs 28mil kwa kila kimoja. Vingine vina ukubwa wa sqm 1000 isipokua havina Hati Miliki Bei yake ni shs 20mil kwa kila kimoja.Kingine kina ukubwa wa 25 x 40 kinauzwa 16.5mil. Wahi kununua kabla barabara haijapanuliwa na bei kuongezeka. Kwa mawasiliano piga simu 0784225000 au 0717114409