Kitomai
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 1,060
- 281
Vipo Mbezi juu km 4 kutoka Bagamoyo Road. Size 20 x 20 kwa shs 7.5mil au 40 x 20 kwa shs 15mil. Havina Hati miliki certificate of occupancy. Utauziwa chini ya usimamizi wa serikali ya mtaa. Vipo nane. wahi mapema kabla havijaisha au barabara ya kwenda Bagamoyo haijapanuliwa. Kwa mawasiliano zaidi piga simu 0784225000 au tembelea Property & Real Estate Tanzania