Kitomai
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 1,061
- 281
Vipo Mbezi Kunguru. Mbezi Kunguru ipo Mbezi juu unapitia njia ya Masana Hospitali, St Joseph Millenium Secondary. Vipo umbali wa km 6.5 kutoka Bagamoyo Road. Vipo katika shamba lenye ukubwa wa ekari mbili na zaidi ambalo linagawanywa katika vipande vya mita 30 kwa 25.
Kila kipande kinauzwa shilingi 8mil. Eneo kubwa la shamba lipo katika mwinuko, hivyo upepo mwanana tokea Bahari ya Hindi unakufikia vizuri. Vipo katika eneo ambalo ujenzi wa makazi mapya unaendelea kwa kasi, unaweza kutazama picha za makaazi mapya ya wakaazi waliopiga hatua kidogo ambayo wewe unaijongea.
Wahi kununua mapema kabla upanuzi wa Bagamoyo Road haujakamilika na barabara iendayo Goda haijawekwa rami, ukarabati wa hizo utaathiri bei ya hivyo viwanja. Huduma za umeme na maji zipo karibu na eneo hilo. Pia lipo karibu na Shule ya Msingi Kunguru.
Mashariti na Vigezo kuzingatiwa
Piga simu namba 0717114409 upatiwe ufafanuzi kabla ya kuinua mguu wako kuja kuvitazama.
KARIBU!
Kila kipande kinauzwa shilingi 8mil. Eneo kubwa la shamba lipo katika mwinuko, hivyo upepo mwanana tokea Bahari ya Hindi unakufikia vizuri. Vipo katika eneo ambalo ujenzi wa makazi mapya unaendelea kwa kasi, unaweza kutazama picha za makaazi mapya ya wakaazi waliopiga hatua kidogo ambayo wewe unaijongea.
Wahi kununua mapema kabla upanuzi wa Bagamoyo Road haujakamilika na barabara iendayo Goda haijawekwa rami, ukarabati wa hizo utaathiri bei ya hivyo viwanja. Huduma za umeme na maji zipo karibu na eneo hilo. Pia lipo karibu na Shule ya Msingi Kunguru.
Mashariti na Vigezo kuzingatiwa
Piga simu namba 0717114409 upatiwe ufafanuzi kabla ya kuinua mguu wako kuja kuvitazama.
KARIBU!