Kisusi Mohammed
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 563
- 468
- Thread starter
- #21
Shark km vp nawe ingia tu kwny kundi la wajinga ili uliwe!
Nyati, mradi wa Makazi wa Luguruni upo kwny hatua ya tathmini na hauna athari yoyote kwa wamiliki, mradi wa chuo kikuu cha Muhimbili upo Kwembe, na bahati nzuri nimeushuhudia mchakato kwa karibu zaidi mpk hatua za mwisho za kuwalipa fidia wakazi wa maeneo yatakayoingia kwny umiliki wa Muhimbili! Kwa hy Nyati usihofu, kiwanja changu kipo karibu na makazi ya Mwenyekiti wa CCM Mzee Mbonde, karibu sn!
Bwana Kisusi,
Nadhani utakuwa msaada mkubwa kwa ndugu yangu mmoja.
Alionyeshwa eneo moja huko kwembe (Kwembe Kati) sehemu iitwayo "maduka sita" kuwa mmiliki wake anauza viwanja. Eneo hilo kwa maelezo yake limepakana na eneo la mradi (lililopimwa). Ndugu huyo alisita kulinunua japo wapo ambao wamenunua siku za karibuni hapo hapo kwa huyo mmiliki.
Sasa mkuu, kwa uzoefu wako wa hayo maeneo tumshauri vipi huyu ndugu. eneo amelipenda (about 2000 sqm @ Tzs 8m) ila anahitaji ushauri.
mzee viwanja vyako vya kienyeji hatuvitaki, kwa sababu viwanja hivyo vya kienyeji vinapagaisha unaweza kujenga nyumba yako kisha akaja mwingine akaziba barabara ya kuja kwako.
Jamani mi nadhani uhalali au kuthibitishwa kwa viwanja hivyo c tatizo, upo serious na kununua check nami nikupe undani wa yote hayo. Hakuna kiwanja chenye ujanja ujanja wala kilicho kwny hatari ya kuzuiwa na serikali. Kigamboni kuna stop order ya ujenzi ila ukienda wizara ya ardhi wakuu wenyewe wanakwambia nyumba itakayokidhi mahitaji ya mradi itakuwa considered, Shark, jaribu kupita huko Kibada na Gezaulole utazame "wenye nazo" wanachokifanya. Ngonjera ya mradi hata Anna Tibaijuka hana majibu ya kuwaeleza wana Kigamboni, so km nawe ni "mwny nazo" km wenzio kaangushe banda lako tu! Kuhusu bei nadhani unasahau km "inflation rate" ya Tz ipo 16.8 mpk jana, na dola ni 1,720 kwa change ya leo. Jipange mkuu, soko huria, land value appreciation na mahitaji yangu binafsi ndo bases za bei ya viwanja vyangu. NB: MI SI DALALI, NI MMILIKI HALALI WA ARDHI HIYO NA NIMEFATA TARATIBU ZOTE ZA UMILIKI KWA NGAZI YA SERIKALI YA MTAA!
Sikia Kisusi,
Biashara inahitaji moyo,
Hata kama mtu sie mnunuzi, kutaja kujua zaidi inasaidia na wengine pia.
Kama mtu katoa reference ukubwa+bei ya vilivyopimwa,
Ulitakiwa uje na ushawishi wa kuwaelewesha wateja wako waelewe.
Hayo mambo ya kudai kwa kua mtu sio mnunuzi basi asikuulize yatakupototezea au kukupunguzia wateja.
Kwa maelezo yako tu ni kua mtu anunue tu huko Gezaulole kisha ategemee huruma ya Wizara.
Tunajua ardhi ni yako una uwezo wa kuweka bei uitakayo, but accept challenges ndo utafika mkuu (he/she???!!)
Thanks a lot SHARK!!
Hapa nahisi mambo ya "kekundu, kekundu........ndiyo waliwao"
Kwaheri.