Kisusi Mohammed
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 563
- 468
Ninauza viwanja, cha kwanza kipo Kigamboni, Gezaulole, kina ukubwa wa 1300 Square Metres, kina hati ya mauziano ya serikali ya mtaa, bei yake ni 17,000,000/= Cha pili kipo Mbezi, Luguruni, kwa Kolimba, kina ukubwa wa 2100 Square Metres, kina hati ya umiliki ya serikali ya mtaa, bei yake ni 15,000,000/= kwa wenye kuhitaji maelezo ya ziada wanaweza nicheck kwa 0715555512