mamabaraka
Member
- Oct 18, 2011
- 92
- 14
Vipo Chanika, viwanja miguu 35 kwa 25 milioni mbili. Mashamba hekari moja milioni mbili. Viwanja viko sehemu nzuri kuna mchanga mweupe palepale. Yaani hununui mchanga. Na mashamba ni udongo mwekundu wenye rutuba. Unastawisha mahindi, mihongo na matunda aina zote. Mwenye kuhitaji anipm tuongee.