Ardhi Kigamboni
Member
- Mar 31, 2016
- 44
- 6
- Thread starter
- #21
Kigamboni
KdaMkuu,
Wakati wa mama Tiba bei elekezi ilikuwa 33,000 kwa sqM kwa huku Kigamboni...
Hivi viwanja havipo katika eneo lile la plan ya huo mji mpya? Si watu waliambiwa wasiendelee kujenga?Kuna square meter 955 na 1200 na 2000 na 3000 na 4990 kila square meter moja ni tsh 14,000 tu. Pia kuna square meter 803 kwa tsh 17,000.
Eneo ni Katikati ya Mwongozo nyuma ya utumishi housing na Dege kilometer 18 toka Ferry.
Visivyo pimwa ni kuanzia 25 kwa 25 bei nikuanzia million 3.5 nakuendelea Maeneo Mwongozo, Dege, Mbutu, Mwembe mdogo ukooni, coco palm. Msingi wa Bei ni Maelewano kwa visivyo pimwa.
Mawasiliano 0746224769