gambakuffu
JF-Expert Member
- Jul 2, 2010
- 415
- 402
Asalaam Aleykhum,
napenda kuuliza kwa anayefaham mf. mtu umepangiwa kituo cha kazi na mwajiri anatakiwa akulipe kiwango cha fulani cha gharama kusafirisha mizigo yako kutoka ulipo. je, km kuna taarifa za viwango hivyo pamoja na umbali husika, msaada tafadhali mfano kwa tani 3 za mizigo kwa kilometa ni kiasi gani
napenda kuuliza kwa anayefaham mf. mtu umepangiwa kituo cha kazi na mwajiri anatakiwa akulipe kiwango cha fulani cha gharama kusafirisha mizigo yako kutoka ulipo. je, km kuna taarifa za viwango hivyo pamoja na umbali husika, msaada tafadhali mfano kwa tani 3 za mizigo kwa kilometa ni kiasi gani