Hivi karibuni Idara ya Uhamiaji nchini imetoa viwango mbali mbali vipya kwa huduma zake ambazo zitakuwa zinatozwa kuanzia Jualai 1 (sijui kama wameanza),lakini vinaonekana kupanda kwa zaidi ya asili mia moja,kwa mfano Hati ya ukazi daraja B imepanda toka $ 660 mpaka $1,500 na nyingine kwa ongezeko kama hilo.Lengo hasa ni kuongeza mapato,kubana wageni au nini?