VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Ni ukweli kuwa Rais anastahili sifa. Amesema kweli kuwa Tanzania kuna watu wanamiliki viwanda vya uongo.Lakini,hakuwataja. Asingeweza kufanya hivyo.Hawajui DOWANS,Richmond wala wamiliki wa viwanda vya uongo. Lakini wamiliki wa viwanda vya uongo wanajulikana. Ni hawa:
1. Jakaya Mrisho Kikwete-Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
2. Mizengo Kayanza Peter Pinda-Waziri Mkuu wa Tanzania
3. Wilson Mukama-Katibu Mkuu wa CCM
4. Nape Nnauye-Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM
5. Salva Rweyemamu-Mkurugenzi wa Idara ya Mawasiliano-Ikulu
6. Mawaziri wote wa Tanzania
7. Wabunge wote wa CCM
8. Wakuu wote wa Mikoa na Wilaya Tanzania
9. Gazeti la Uhuru na Redio Uhuru za CCM
10. Wote wa hapo juu na mashabiki zao
Hawa ndio waongo na maadui wa maendeleo wa Taifa hili. Afadhali wamejitaja. Viwanda hivi vinatoa ajira lakini? Kwa kiasi gani?
1. Jakaya Mrisho Kikwete-Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
2. Mizengo Kayanza Peter Pinda-Waziri Mkuu wa Tanzania
3. Wilson Mukama-Katibu Mkuu wa CCM
4. Nape Nnauye-Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM
5. Salva Rweyemamu-Mkurugenzi wa Idara ya Mawasiliano-Ikulu
6. Mawaziri wote wa Tanzania
7. Wabunge wote wa CCM
8. Wakuu wote wa Mikoa na Wilaya Tanzania
9. Gazeti la Uhuru na Redio Uhuru za CCM
10. Wote wa hapo juu na mashabiki zao
Hawa ndio waongo na maadui wa maendeleo wa Taifa hili. Afadhali wamejitaja. Viwanda hivi vinatoa ajira lakini? Kwa kiasi gani?