Cassian Lucas
Member
- Dec 17, 2011
- 24
- 2
Nataka ni muombe Mh, Rais Jk. Atusaidie kututatulia swala hili la upandaji wa bei ya malighafi(Nyuzi) ilipanda toka mwaka 2009 mwezi9 kutoka 5,900 hadi 9,000 kwa madai ya kwamba Pamba hakuna wanaagiza ktoka nje, chakusikitisha sasa hivi pamba ipo kwa wingi Bei ime ongezeka kg1 Tsh,13,000! Kwakweli Rais okoa hiikali la sivyo viwanda hivi vidogo vita kufa kama viile VIKUBWA