Monsignor
JF-Expert Member
- Jan 29, 2009
- 523
- 13
Currently Active Users Viewing This Thread: 24 (2 members and 22 guests)
22 guests????
Nothing strange with that. Hata members wanaweza tambulika kama guests ikiwa wanasoma bila kulog-in.
Currently Active Users Viewing This Thread: 24 (2 members and 22 guests)
22 guests????
Nothing strange with that. Hata members wanaweza tambulika kama guests ikiwa wanasoma bila kulog-in.
Sintashangaa kusikia Mutu ni mkuu wamajeshi ya Obama! maana katoka Danganyika na kapata bonge la cheo kama hichoYah niona inaongea swahili as his first language.........................kaja US akiwa na miaka 11 kutokea bongo.
Kuna mtu anauliza kuwa ikiwa mbongo ndio nini?Ni kwamba inatia moyo kwa wadogo zetu na sisi wenyewe kuwa ukiwa na juhudi unaweza kufanya chochote dunia na kuwa yeyeto bila kujari umetokea wapi.
Watu wengi wanadhani vitu fulani ni kwa watu fulani tu ila mambo kama haya yanatia moyo.
Mpaka lini wa Tanzania tutaendelea kuwa Naive kinacho sifawa hapa kuwa huyu jamaa aliishi Tz ni sawa na kusema jirani yangu anajumba kubwa lakupendeza unasifia jirani yakoukiwa unaishi ndani ya kijichumba kwenye familia zaidi ya 5 au baadhi yenu mnasema eti tunawatz wengi wenye vipaji vikubwa sasa jiulizeni wapo wapi?? kama wao wanahisia kama zenu kwanini leo hii wasiseme wakati umefika elimu na ujuzi tulionao tukawasaidie wale waliokuwa kule nyumbani acheni itikadi mbovu hizo nisawa na wale wanaoamini mganga ndie atakaebadilisha maisha yake nini sisi tuliokuwapo hapa Tanzania na kuitumikia nchi kwa kuijenga ndio wakufurahiwa na kupongezwa hao watu mnaowataja wanakuja hapa TZ kama ni watalii funguweni vichwa vyenu
Yah niona inaongea swahili as his first language.........................kaja US akiwa na miaka 11 kutokea bongo.
Kuna mtu anauliza kuwa ikiwa mbongo ndio nini?Ni kwamba inatia moyo kwa wadogo zetu na sisi wenyewe kuwa ukiwa na juhudi unaweza kufanya chochote dunia na kuwa yeyeto bila kujari umetokea wapi.
Watu wengi wanadhani vitu fulani ni kwa watu fulani tu ila mambo kama haya yanatia moyo.
Hongera yake huyo ndg yetu, itoshe tu kuamini ardhi hii si mbaya ktk uzazi na malezi. Tumtakie heri aifanikishe kazi ya waamerika