Vivazi

kakuruvi

JF-Expert Member
Sep 2, 2009
770
256
Mavazi ni kitu cha kwanza kuitambulisha tabia ya mtu unapokutana naye mara ya kwanza, kinyume ya hapo inaweza kuwa sawa pia kwa sababu maalum au kuigiza. Inaelezwa kuwa CBE wameanza kufanyia kazi jinsi ya kuvaa chuoni hapo Je wako sahihi, au waache tu kila mtu na lake? Wadau mna lipi la kusema?



picha kwa hisani ya Michuzi!

mavazi.jpg
 
Wakaulize wanafunzi wenzao wa SAUT where ethcal standard dressing codd are well considered.!?
 
...ID yako nimeipenda,na nimeielewa
topic: kwanza mavazi yanaweza yasikupe picha halisi ya mtu...kwa kiasi kikubwa tu, ila hao wanaotaka kuanzisha iyo kitu, sidhani kama itafanya kazi...sanasana watakosa wanafunzi tu.

kuhusu hao waungwana hapo juu...duh kidogo inachanganya,mana naona kama biashara ivi..tehe!
 
wanaweza kufanikiwa mana mie nilienda kumwona mtu nkarudishwa getini.
nadhani tusiangalie kama wanafanikiwa au hawafanikiwi bali tuangalie theme hasa juu ya madai ya CBE.

Kwa mfano ukienda msibani kuna code of conduct, harusini, ufukweni, shambani, na hata wale wanaofanya kazi bandarini, waendesha ndege (pilots/captains) nk wote wana code of conducts. Iweje shule (najua unaweza kusema CBE sio shule bali ni chuo!!!) ni kwa nini nazo zisiwe na code of conducts zao!?

Kizuri zaidi wamejaribu kuonyesha kwa illustrations ni kitu gani wanapinga. Sasa ukiangalia hiyo michoro kweli, msichana kweli anaweza akasoma huku akiiona mitako ya hiyo 'kata-k' ilivyo nje!? ...na je ni mwanamme (maana CBE wengi ni >20+) anaweza kuvumilia kuangalia hao wadada walivyovalia na ukichukulia maisha magumu tuliyonayo sasa!

Well done CBE na wengine waige kwa vili hili ni jambo zuri kama nyie mlivyoiga kutoka SAUT

 
vazi zuri ni lile linaloweka conducive envinronment kwa jamii husika. ni vizuri CBE wakijenga mazingira hayo. wenzao SAUT wamefanikiwa kwa nini wasiwe wao pia?
 
wengine ndo kazi zao wanazitangazo kupitia mavazi si watakosa soko sasahalafu wengi wao ni no loans
 
wamechelewa sana na wanaume wamefail sana mpaka wamekuja tunga haka kasheria hope wamewasaidia vidume kwa njia moja au nyngne hope hamjawaona walimu wa RUCO au SAUT mwanza hii kitu TUMAINI ndo imedunda wanavaa wawezavyo nikirud tena lazima nirudishe haka kasheria.
 
Back
Top Bottom