Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,319
- 33,125
Last edited by a moderator:
Kwani wewe hujuwi Raha ya dunia uwe na Mwanamke anayekupendeza kimwili na Tabia yake Mkuu kiuno hicho kina Raha zake nenda kazini unachelewa hapa Jamii forums.jamani asubuhi yote tunaamkia viuno!! Kweli???
jamani asubuhi yote tunaamkia viuno!! Kweli???
Usijali Mwanzo wa siku na Raha zake kula Raha zako tu mkuu poa mwanzo mzuri huo.....Afu ndo kwanza j3, aah sijui kwanin na mim nimefungua hapa!
Kwani wewe hujuwi Raha ya dunia uwe na Mwanamke anayekupendeza kimwili na Tabia yake Mkuu kiuno hicho kina Raha zake nenda kazini unachelewa hapa Jamii forums.
Mkuu Tafuta Laptop au Notebook bado unatumia ki cellular? Achana na Viji Cellular vya kichina hivyo vitakukosesha Raha za dunia.sometimes i used to hate my cellular kwa kushindwa kufungua youtube...
karibu wanawake wote wa Jamii forums wazuri nawapenda hakuna aliyekuwa mbaya. Ila nasema hivi uzuri wa mtu ni Tabia sio sura yake awe Mwanamke au mwanamme.Nakubali, ngoja basi kupambazuke kidogo rafiki, mweeeeee!!!! Angalia wa mama wa jamii forum wakiisoma reply yako kuwa wao ni commodities -penye red (commodity is anything that satisfies human wants) wataandamana kwa kuwadhalilisha